Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,797
Humu ni jukwaa huru hata CCM mbatumia matusi ya kila aina hakuna wa kuwazuia, lakini live kwenye vyombo vya habari hakuna mpinzani ataweza kuwaita CCM misukule kwani atabambikiwa kesi ukoo wake wote waozee jela
Kuna upande mmoja matusi ni kama mfumo wa kuchangia, ni vizuri kuepuka majibishano ya moja kwa moja na watu wenye matusi na washari. Mimi nawaita Madictator wa JF. W