Elections 2010 NEC yakiri ilikosea matokeo ya Geita

Jamani mie hadi naona aibu. Hivi kweli mataifa yanatuonaje?? NEC sheria inasemaje juu ya hili? Je mngekuwa mmekosea kwa kumwongezea mpinzani kura zaidi ya wa CCM je mngekubali yakirekebishwa kwa style yenu? Si mngesema ni batili na zihesabiwe upya??? Kwa kweli mmenivua hata ile chembe ya haradali ya imani nilikuwa nayo juu yenu...........

Najiuliza tu hivi watanzania wote (hasa sie tulobahatika uelewa mdogo wa mambo haya) haiwezekani kufanya kitu kupigania haki na demokrasia ? Haiwezekani kuungana hivi na kutafuta msaada wa kisheria hata wa kimataifa na kuisue NEC?? Haya malalamiko tunayolalamika hapa kwenye screen zetu tuyaturn into action??:A S angry:
 
Hata mimi naona aibu! Je Tanzania nzima ni Dr. Slaa peke yake ndo ana ujasiri na hekima ya kutambua mabaya ila wengine tumekaa tuuuu tunasubiri evidence au 2015 tuje tuchakachuliwe tena???????????? Shame on us!

Lady
si unaujua duniani kuna watu wa aina mbili wale wanaofanya mambo yatokee na wale wanaosubiri mambo yatokee, watanzania wengi ndio wale wa aina ya pili, kweli SHAME ON US....
 
Do you know kitu kinaitwa Sensitivity Analysis angalia hii: Kikwete +13,168 Slaa +18,247 kwa hiyo
18,247 - 13,168 = 5,079 umeelewa maana yake? au bado.

CCM wana ubavu wa kuelewa hicho? Waache kwanza kutumia makalio kufikiri.
 
Kiravu akiri NEC ilikosea na sasa matokeo yasomeka kama ifuatavyo

Kikwete 30,960 badala ya kura 17,792 (+13,168)

Slaa 22,036 badala ya kura 3,789 (+18,247)

Utaona Slaa alitaka kudhurumiwa kura 18,247. Je kuna makosa mangapi ya aina hii yamefanyika?
Hapa suluisho warudie tu kujumlisha kura zote.
kwanza huko kiravu naye akili hana, watatangazaje matokeo wakati hawaja yahakiki?
mpaka watu waje na takwimu za kweli ndo aseme kakosea?? nyambafu kabisa.
hapa bwana mimi maoni yangu mwamunyange na vijana wake, wamwondoe tu huyu Idd Amini wa kikwere. wafanye kama Gueinea walivyo fanya baada ya rais wao kuboronga. waongoze nchi kwa muda wakati marekebisho ya mapungufu yaliyopo yakirekebishwa baadaye waitishe uchaguzi wakidemokrasia.
Bila hivyo huyo mrafi wa madaraka atatusababishia matatizo.
haya ni maoni yangu.
 
Kwa hali hii watanzania tusikubali kuitisha uchaguzi mwingine chini ya akina Kiravu na Makame. Kabla ya uchaguzi mwingine nashauri hao akina Kiravu na Makame washitakiwe The Heque kwanza kwa UHAINI huu wanaofanya.
 
Kiravu akiri NEC ilikosea na sasa matokeo yasomeka kama ifuatavyo

Kikwete 30,960 badala ya kura 17,792 (+13,168)

Slaa 22,036 badala ya kura 3,789 (+18,247)

Utaona Slaa alitaka kudhurumiwa kura 18,247. Je kuna makosa mangapi ya aina hii yamefanyika?

Suala hapa si Kikwete alikuwa amedulumiwa kura 13,168 au Slaa alikuwa amedulumiwa kura 18,247; bali katika mtazamo wa ushindi, cha maana hapa ni net difference kati ya wagombea, kutoka 17,792-3789=14,003 na kuwa 30,960-22,036=8,924. Baada ya masahihisho pengo kati ya wagombea limepungua kwa kura 5,079.
 
Hawa NEC wanajichanganya shauri ya kuchanganya majina. Wilaya ya Geita ina majimbo mawili na matokeo yake ni kama hapa chini:

Hilo jimbo la NYANG'HWALE mara wanaliita Geita, nafikiri ndio mwanzo wa kuchanganya.


WILAYA YA GEITA

Jimbo BUSANDA

KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 33,547
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 22,260


Jimbo NYANG'HWALE


KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 17,792
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 3,789
 
N'gaaa.....ku......xyz#@%%%%%%%%.......:tape::tape::tape::tape::tape::tape: wamechakachua TAYARI mamamamaaaaaaaaaaaaaa...... Arusha HATULALI KAKA slaaaaaaaa sema UONE ARUSHA mambo yetu kama kawaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa:doh::doh::doh::doh::doh::doh:
 
Hawa NEC wanajichanganya shauri ya kuchanganya majina. Wilaya ya Geita ina majimbo mawili na matokeo yake ni kama hapa chini:

Hilo jimbo la NYANG'HWALE mara wanaliita Geita, nafikiri ndio mwanzo wa kuchanganya.


WILAYA YA GEITA

Jimbo BUSANDA

KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 33,547
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 22,260


Jimbo NYANG'HWALE


KIKWETE JAKAYA MRISHO CCM 17,792
SLAA WILLIBROD PETER CHADEMA 3,789

Ndugu usifanye kazi ya kuijibia tume.Wilanya ya geita ina majimbo matatu na si mawili kama unavyosema nayo ni Geita, Nyang'wale na Busanda. Matokeo ya ubunge yalitangazwa bila shida yoyote, ya urais kumetokea nini wakati wao wameletewa toka majimboni na wao wanapaswa kutangaza kinachotoka majimboni na si vinginevyo?
 
Kikwete pia alikuwa anadhulumiwa 13,168. Au sio?
Yeah, na kwa mantiki hiyo unaenendelea kuungana na wengi kwamba NEC imekosea matokeo, bila ya kujali imemfaidisha nani au kumnufaisha nani
 
Kikwete pia alikuwa anadhulumiwa 13,168. Au sio?

Janja yao ya kurubuni ila makusudi. Ulishaona wapi jumla ya kura za wabunge katika jimbo zinakuwa tofauti na za urais katika hilo hilo jimbo. Walichokuwa wanasomea wananchi sio kilichokuwa kinatoka majimboni. Ni ushetani tuuuu!! hasa majimbo ya ukanda wa pwani.
 
ndio maana slaa anasema matangazo yasitishwe coz kuna makosa kama haya ambayo yanaashiria kuwa kuna mengine, je tutajueaje kuwa raisi ni wa ukweli kama hatutochunguza zaidi? Ila kuna majuha weeeengiiii tu wanamuona slaa analeta vurugu. Jamani huyu ni mzalendo and he is doing something for his country. Je wewe utaenda kujibu nini kwa mungu ukiulizwa uliifanya nini tanzania?!
sio kwa mungu kwa mwanao au mjukuu wako ukiulizwa umeifanyia nn nchi yako au watu hawana uzazi hivyo hawatarajii kuwa na family?
 
ndugu usifanye kazi ya kuijibia tume.wilanya ya geita ina majimbo matatu na si mawili kama unavyosema nayo ni geita, nyang'wale na busanda. Matokeo ya ubunge yalitangazwa bila shida yoyote, ya urais kumetokea nini wakati wao wameletewa toka majimboni na wao wanapaswa kutangaza kinachotoka majimboni na si vinginevyo?

wewe nawe tume ya ccm. Za ufisadi wamekupa ngapi?
 
Back
Top Bottom