Challenger M
Member
- Oct 31, 2010
- 81
- 2
kwanini nec wanapoteza muda kutangaza matokeo kila jimbo wakati tayari wana mshindi tayari wafanye shortcut wamtangaze kiwete ah samahani nimekosea Kikwete kuwa mshindi yaishe kuliko wanavyojichanganya kuchakachua. Hawajui kwa kufanya hivyo ndio wanachochea vuguru? Kisha wamlaumu Dr. Slaa