Wamekimbia wote hakuna watu wakuulizwa habari za kura nikiwa na maana wasimamizi wote hawapo katika kituo chanoysterbay ambapo ndo kituo kikuu cha kukusanyia kura za jimbo la kawe!kifupi hawatakikutangaza matokeo na hawaonekani na watu wamekusanyika hapo obey shule kutoka kawe nzima hapatoshi mdee ndani!!wamekimbia na mabox ya kura?
Wamekimbia wote hakuna watu wakuulizwa habari za kura nikiwa na maana wasimamizi wote hawapo katika kituo chanoysterbay ambapo ndo kituo kikuu cha kukusanyia kura za jimbo la kawe!kifupi hawatakikutangaza matokeo na hawaonekani na watu wamekusanyika hapo obey shule kutoka kawe nzima hapatoshi mdee ndani!!
this is very discouraging.. kwa nini wasiache demokrasia ichukue mkondo wake
Powa ilmradi hawajaondoka na mabox, asiondoke mtu hapo mpaka kieleweke maana wanategea watu wachoke waondoke ili waje na mabox yao yaliochakachuliwa ............:A S angry:
hii inastaajabisha inapotokea upunzani kuchukua wanakuwa wanpata kigugumizi kutangaza, wanawinda wakipata mwanya tu wanaiba, watu msiondoke, arusha, mza, mbeya, kishaeleweka, wajinga ndo wanaoliwa tena mwaka huu kibao wameibiwa kudadadeki
tume ya uchaguzi imepatwa kigugumizi wamekimbia katika kituo cha kuhesabia oysterbay na hawataki kutoa majibu mpaka hivi sasa ni saa 5 usiku nec wameingia mitini kinachoonekana wanataka kuchakachua kura!!
jimbo la kawe ndio watu wengi wenye kipato cha juu na viongozi wa serikali wanakaaa
ni aibu kubwa sana hili jimbo kwenda upinzani na hichi ni kielelezo tosha kuwa watu wameichoka ccm