Elections 2010 NEC yadai JK alishinda kila mkoa bara na Lipumba alitesa Zanzibar?

Rutashubanyuma

JF-Expert Member
Sep 24, 2010
219,470
911,173
Nimepitia gazeti la Mwananchi la leo na nikabaini ya kuwa kumbe NEC wamesema JK alishinda kila Mkoa wa bara na Lipumba kushinda jumla kuu ya Zanzibar...................Zanzibar Prof. Lipumba kura 251, 646 na Jk kura 77, 671......na hili linaniongezea wasiwasi kama kweli Dr. Shein alimshinda Maalim Seif wa CUF.....................................

NEC hao hao wanadai ya kuwa na kumaanisha Dr. Slaa hakuna mkoa hata mmoja aliouongoza jambo ambalo ninaliona lina hitilafu kubwa sana.......huu sasa ndiyo uzushi mtupu kutoka NEC..........kwa mawazo yangu haya ni matunda ya uchakachuaji ambao haukupata darasa stahiki....................mjanja huuma na kupulizia lakini NEC na Idara ya usalama ya Taifa wao waking'ata hakuna kupulizia........................................................

Ikumbukwe Idara ya Usalama wa Taifa ambao baada ya matokeo ya uchakachuaji wa kura kuanza kuhojiwa na Dr. Slaa waliruka na kudai hawahusiki sasa sijui walikuwa vituoni na makao makuu ya Halmashauri za wilaya na Manispaa sijui wakifanya nini.............kama siyo kuchakachua matokeo ya kura..........

SOURCE: MWANANCHI ukurasa wa 1-4 toleo maalumu la matokeo ya uchaguzi.........Angalizo langu binafsi unapozisoma takwimu za kwenye gazeti hilo uwe mwangalifu kwa sababu baadhi ya kura zilizomo humo hata mimi ninazitilia mashaka si ya uchakachuaji tu bali hata kuna makosa ya kuchapisha .........Kwa mfano Mkoa wa Manyara jimbo la Karatu halipo huko bali limehamishiwa Mkoa wa Arusha na matokeo yake ni aibu tu kwa NEC au kwa Mwananchi waliotoa nakala hii kwenye gazeti lao................


JK kaandikiwa kura ........24, 382 au 98.1% na Dr. Slaa kura 41 au 0.2%...........ninahisi kuna "typographical error" lakini kama hakuna basi hiyo ni kashfa nyingine kwwa NEC kuwa Dr. Slaa hata jimboni kwake Karatu alipata kura 41 tu..............hakuna mtanzania anayeweza kuamini hayo majitaka.............................
 
Sijaona mkoa wa JF maana hapa Slaa aliongoza kwa kura, lazima matokeo yamechakachuliwa.
 
NEC CCM KUMANINA ZAO WEZI WAKUBWA........................TUMECHOKA JAMANI TUACHIENI KANCHI KETU...Kikwete na familia yako yote hatukutakini....
 
NEC hao hao wanadai ya kuwa na kumaanisha Dr. Slaa hakuna mkoa hata mmoja aliouongoza jambo ambalo ninaliona lina hitilafu kubwa sana.......huu sasa ndiyo uzushi mtupu kutoka NEC..........kwa mawazo yangu haya ni matunda ya uchakachuaji ambao haukupata darasa stahiki....................mjanja huuma na kupulizia lakini NEC na Idara ya usalama ya Taifa wao waking'ata hakuna kupulizia...........................................................

Mkuu, kwanini unaamini kuwa Dr. Slaa ni lazima ameongoza kura za mikoa kadhaa? una data ata za upande wa mawakala wa Chadema zinazodhibitisha madai yako?

Kimsingi kama unafahamu hali ya kisiasa nje ya JF usingeshangazwa na jambo hili, kama chama cha upinzani kinashindwa kuudhibiti mji kama Dar es salaam ambapo kimeweza kuwafikia wapiga kura walio wengi, ni vigumu kuweza kushinda kwenye mkoa kama wa Iringa ambapo hakuna mtandao wa chama na mgombea wake ametembelea wilaya 2 tu kati ya wilaya ya 7 za mkoa huo, hii ni changamoto inayopaswa kufanyiwa kazi kuelekea 2015.
 
Hakuna kitu kigumu kama wizi. Sasa Zanzibar Lipumba amemzidi JK wa CCM lakini SMZ ameshinda Shein! Kazi tunayo mwaka huu!
 
Hakuna kitu kigumu kama wizi. Sasa Zanzibar Lipumba amemzidi JK wa CCM lakini SMZ ameshinda Shein! Kazi tunayo mwaka huu!
we acha tu. Jibu ni rahisi, wazanzibari wanamkubali zaidi profesa kuliko maalim seif(unaweza kucheka mpaka ufe apo):smile-big:
 
Mkuu, kwanini unaamini kuwa Dr. Slaa ni lazima ameongoza kura za mikoa kadhaa? una data ata za upande wa mawakala wa Chadema zinazodhibitisha madai yako?

Kimsingi kama unafahamu hali ya kisiasa nje ya JF usingeshangazwa na jambo hili, kama chama cha upinzani kinashindwa kuudhibiti mji kama Dar es salaam ambapo kimeweza kuwafikia wapiga kura walio wengi, ni vigumu kuweza kushinda kwenye mkoa kama wa Iringa ambapo hakuna mtandao wa chama na mgombea wake ametembelea wilaya 2 tu kati ya wilaya ya 7 za mkoa huo, hii ni changamoto inayopaswa kufanyiwa kazi kuelekea 2015.

chadema inadata zote, kwanini msijiulize makame kwanini alichana matokeo ya Ubungo na mpaka sasa tume haikutangaza matokeo ya kawe?
tusiongee sana jamani embu tusubiri,mnaionaje ya leo watu wamebebwa kutoka Zanzibar kuja kumuapisha rais hii ni aibu siyo jambo la kujivunia hata kidogo
 
NEC CCM KUMANINA ZAO WEZI WAKUBWA........................TUMECHOKA JAMANI TUACHIENI KANCHI KETU...Kikwete na familia yako yote hatukutakini....

NEC CCM KUMANINA (ACHA MATUSI YAONYESHA NI JINSI GANI ULIVYO NA AKILI PUNGUFU) ZAO WEZI (WEWE SIO MWIZI, MBONA ULIMUIBIA BABA YAKO HELA ZAKE UNAFIKIRI HATUJUI) WAKUBWA........................TUMECHOKA (WANANCHI HAWAJACHOKA NDIO MAANA WAMEMCHAGUA KWA USHINDI WA SUNAMI) JAMANI TUACHIENI KANCHI KETU (NCHI TETU SOTE SIO WW PEKE YAKO)...Kikwete (CHAGUO NA KIPENZI CHA WATANZANIA) na familia (WEWE HUNA FAMILIA UMEZALIWAJE?)yako yote hatukutakini (WEWE TU WALIO WENGI WANAMTAKA NDIO MAANA WAMEMCHAGUA)
 
Back
Top Bottom