MASEKE TEE
Member
- Mar 17, 2012
- 34
- 10
kiukweli wadau ccm bila mbeleko ya nec hawashindi chaguzi yoyote, nec wanavuruga majina ya wapiga kura especially vijana, wanahamisha majina ya wapiga kura hovyo na wanakubali ccm kuchezea daftari lao electronically kma walivyofanya igunga. Mytake huu ndio mtihani wa kwanza wa lubuva, wakinyima haki cdm iitishe maandamano yasiyo kikomo nchi nzima kudai tume huru kabla ya yote, mutaona ccm watakavyokuwa upinzani hata msoga.