MASEKE TEE
Member
- Mar 17, 2012
- 34
- 10
Imekuwa ni kawaida yao nec kuibeba ccm kila chaguzi, sasa tunawaangalia kwa macho mawili nyinyi wateule wa mwenyekiti wa ccm. Mkituimika arumeru, dk slaa tuongoze tupate nec ya watanzania siyo ya ccm kama hii. Ni aibu wasomi kuburuzwa na makada, magamba, tena majaji wanaotakiwa kusimamia haki na sheria.