EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
TUME ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imemtaka Msimamizi wa Uchaguzi wa Jimbo la Igunga, Protas Magayane, kuhakikisha anatangaza matokeo halisi ya uchaguzi huo bila kuingiliwa, kushurutishwa wala kutishwa na chama cha siasa, taasisi au mtu yeyote mwenye mamlaka ya juu serikalini ili kuepusha machafuko.
Mwenyekiti wa muda wa NEC, Profesa Amon Chaligha, aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kwamba wangependa kuona hali ya amani inaendelea kuwepo jimboni humo hata baada ya uchaguzi na namna pekee ya kuidumisha ni kutangaza matokeo sahihi na ya kweli.
My take: Wanaposema watamtangaza mshindi halali kwani siku zingine huwa wanafanyaje.
Mwenyekiti wa muda wa NEC, Profesa Amon Chaligha, aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana kwamba wangependa kuona hali ya amani inaendelea kuwepo jimboni humo hata baada ya uchaguzi na namna pekee ya kuidumisha ni kutangaza matokeo sahihi na ya kweli.
My take: Wanaposema watamtangaza mshindi halali kwani siku zingine huwa wanafanyaje.