Ndio shida ya kuzoea Facebook
Ujinga mzigo.
1. Nipe taratibu za kisheria kwa mfungwa aliyenyimwa dhamana..... anatokaje?
Ndio shida ya kuzoea Facebook
Mkuu aliyesaini si Mnyika ni katibu mkuu wa CHADEMA- kwa hiyo kukataa kwa Mnyika hakuleti tofauti yoyote.Sio malaika, ila sio kwenye hili fullstop.
anapewa dhamana baada ya aliyezuia hiyo dhamana kuondoa zuioUjinga mzigo.
1. Nipe taratibu za kisheria kwa mfungwa aliyenyimwa dhamana..... anatokaje?
Okay MkuuBoss hakuna kitu tiss imefanya trust me
anapewa dhamana baada ya aliyezuia hiyo dhamana kuondoa zuio
Siasa za Bongo ni zaidi ya Cheka tu.Siasa kichekesho sana, leo ndugai wa kumtetea halima kweli???
anapewa dhamana baada ya aliyezuia hiyo dhamana kuondoa zuio
Kwa hiyo barua iliandikwa lakini ilibidi wasubiri kwanza fomu, au?Majna yanawasilishwa kwa fomu , si barua. Kuna fomu zinajazwa, wanaapa, hakimu anasaini etc.... stupid Mahela
Waulize BAVICHA walitumia sheria gani kumpelekea cheq yule Dada gerezani na akawa anasaini?Ujinga mzigo.
1. Nipe taratibu za kisheria kwa mfungwa aliyenyimwa dhamana..... anatokaje?
ni pale shughuli za serikali zinapokuwa zimehitimishwa kama inavyotakaUnafaham masaa ya kazi kisheria kwenye mahakama zetu?
Mkuu una umri gani sasa? maana hata mtoto anajua baba hapangiwi saa ya kurudi nyumbaniUnaondoa zuio usiku?
Umelielewa swali? Acha ujingaWaulize BAVICHA walitumia sheria gani kumpelekea cheq yule Dada gerezani na akawa anasaini?
Ujinga mzigo.
1. Nipe taratibu za kisheria kwa mfungwa aliyenyimwa dhamana..... anatokaje?
Majina hayaendi kwa barua...not by listwise..Kuna form zinajazwa kwa kila mtu....... hiyo siyo procedure, it is against the law!Kwa hiyo barua iliandikwa lakini ilibidi wasubiri kwanza fomu, au?
Muulize yote hayo Mbowe alihatjwa wazi eazi na HalimaNadhani labda utupe utaratibu wa huyu wa kutoka gerezani Singida alifikaje Dodoma? (ukiachilia mbali mchakato wa kutolewa, maana hilo najua hutoweza kutoa majibu). Labda huyo ndiye anasemwa kusafirishwa na TISS kwenda Dodoma kuapa.
ni pale shughuli za serikali zinapokuwa zimehitimishwa kama inavyotaka
Walikataa afu ghafla tayari wameshapokeaAliyekataa si huyo Nec hadharani
Muulize yote hayo Mbowe alihatjwa wazi eazi na Halima