Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,185
- 307
Mojawapo ya majimbo aliyoyataja Dr Slaa jana ni utofauti wa matokeo ya jimbo la Geita, katika pita pita yangu nimegundua matokeo ya Geita na jimbo la Nyang'hwale yanafanana kila kitu.
Je walipitwa au ni uzembe, kama ni kweli je kuna majimbo mangapi yenye dosari za namna hii au zingine???
Jionee mwenyewe kwenye hii spread sheet. Au unaweza kugonga hapa: The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage
au
Je walipitwa au ni uzembe, kama ni kweli je kuna majimbo mangapi yenye dosari za namna hii au zingine???
Jionee mwenyewe kwenye hii spread sheet. Au unaweza kugonga hapa: The National Electrol Commission of Tanzania - Homepage
au