Slaa(PhD) huwa habahatishi
Imedhirisha NEC wasivyo makini, unategemea nini kazi wamepewa kina Miraji wana copy&paste wamesahau hizi figure walisevu wakati wanafanya mazoezi ya kuiba kabla ya uchaguzi
.................................MZIRAY KIKWETE SLAA....... LIPUMBA... RUNGWE MGAYWA DOVUTWA SPOILT..... Total
GEITA................ 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
NYANG'HWALE. 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
Slaa(PhD) huwa habahatishi
Imedhihirisha NEC wasivyo makini, unategemea nini kazi wamepewa kina Miraji wana copy&paste wamesahau hizi figure walisevu wakati wanafanya mazoezi ya kuiba kabla ya uchaguzi
Haya ni matokeo yaliyotangazwa na NEC
.................................MZIRAY KIKWETE SLAA....... LIPUMBA... RUNGWE MGAYWA DOVUTWA SPOILT..... Total
GEITA................ 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
NYANG'HWALE. 505 ...17,792.. 3,789 ..1,042 ........51 ........18 ...........49......... 791...... 24,037
NEC ni watu makini hawawezi fanya hivi. Hebu acheni kutuwekea mambo uzushi humu JF bana, km huna cha ku post kaaa kimya
Slaa (PhD) huwa habahatishi need I say more?
Lewis Makame akisoma matokeo ya uongo anadai UWT wamekuwa wanamdanganya
NEC ni watu makini hawawezi fanya hivi. Hebu acheni kutuwekea mambo uzushi humu JF bana, km huna cha ku post kaaa kimya
Hilo ni kosa la kiufundi, ni kazi ya wawakilishi wa vyama kulighamua, huwezi kuiba kipuuzi kiasi hicho, by the way I 'm quite sure NEC makao makuu wanangalia form zilizosainiwa... and nothing less or otherwise... na nina uhakika Jaji Lewis hajasoma namba hivyo zilivyo... tunaomba radio/TV clips ili tujue kweli Tume wanaiba.
Ukisoma kwenye source: utagundua ni tatizo la kiufundi... maana mwananchi watao data zao huko huko kwenye tume.... huwezi feki uchaguzi kiupuuzi kiasi hiki.
Mwananchi Election Editions
Lewis Makame akisoma matokeo ya uongo anadai UWT wamekuwa wanamdanganya
Kwa miaka yote 17 aliyoingoza Tume ya Uchaguzi, chaguzi zote zimekuwa mbovu na hata Katiba ilibadilishwa ili aendelee kuiongoza. Ni kibaraka wa CCM na bila haya wala aibu amekuwa anashiriki kuvuruga uchaguzi. Ni mhaini wa demokrasia.Halafu nilimuona eti anaenda kanisani kuombea uchaguzi, unafiki na uzandiki wa hali ya juu. Nenda kafanye sala ya toba wiki nzima tokea sasa, ama sivyo laana ya watanzania itaanza kukuandama.