kisiki kizito
JF-Expert Member
- Jul 3, 2015
- 676
- 857
Habarini Wakuu.
Husika na kichwa cha Habari.
Tunakumbuka mnamo mwanzoni mwa Mwezi huu. NEC walitoa nafasi ya watu wenye sifa ya kusimamia vituo vya kupigia kura kwenye uchaguzi huu.
Ila hadi sasa Jimbo la Arusha mjini watu hawajaitwa na siku zimebaki chache. Je, ndo utaratibu au kuna swala lingine?
Husika na kichwa cha Habari.
Tunakumbuka mnamo mwanzoni mwa Mwezi huu. NEC walitoa nafasi ya watu wenye sifa ya kusimamia vituo vya kupigia kura kwenye uchaguzi huu.
Ila hadi sasa Jimbo la Arusha mjini watu hawajaitwa na siku zimebaki chache. Je, ndo utaratibu au kuna swala lingine?