acha ujinga na ulofa wewe. una ushahidi utuwekee hapa wa shutuma zako. au kwa sababu ulishindwa kwenye uchaguzi ndio unamtupia lawama Lubuva.Lubuva nilikuwa namheshimu sana lkn alivyoboronga kwenye uchaguzi mkuu anastahili hukumu ya maisha gerezani
kwa nini usiwalaumu wananchi ambao waliamua kuchagua wenyewe kwa utashi wao. usitutie hasira saizi. unadhani nani angekupa kura wakati huekeweki. unaita watu mafisadi, baadae unasema sio ulikosea. wakati ulisema una ushahidi wa kutisha na kutosha.
mmekaribisha watuhumiwa wa ufisadi mkasababisha viongozi mahili kama Dr Slaa wakatimka. tena kwa vipesa uchwara tu vya kununuliwa labda. ajenda ya ufisadi mkaizika kifo cha mende. mkasema tu shut up kama hatuna ushahidi wa shutuma zozote. maushahidi yetu yote tukayachoma moto.
hivi wewe ni binadamu wa kawaida kweli kuandika maneno haya? tafakari! !