USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,663
Wakuu nipo naangalia taarifa ya habari hapa Azam UTV, mkurugenzi wa uchaguzi wa tume ya taifa ya uchaguzi Emanuel Kavishe anasema kuwa ishu ya mbunge wa Ndanda, CHADEMA walikosea steps.
Anasema walipomfukuza Cecil Mwambe walipaswa kumuandikia barua hapo hapo Spika wa bunge ili yeye awataarifu wao lakini pia akaonya kuwa kama mbunge anafukuzwa ubunge ikiwa imebakia mwaka ambapo muda wa uchaguzi mdogo kwa mujibu wa sheria inategemea busara za Spika.
"Ukimfukuza mbunge wakati unajua kuwa muda wa uchaguzi mdogo umeisha inamaana wananchi watakaa bila mwakilishi na hivyo unawanyima haki ya wawakilishi hivyo ingetegemea busara za Spika"
Bwana Kavishe pia amezungumzia kuanza kwa kuhakiki kwa daftari la wapiga kura.
My take: Naona ishu ya Mwambe, CHADEMA wameshapigwa knockout.
USSR
Anasema walipomfukuza Cecil Mwambe walipaswa kumuandikia barua hapo hapo Spika wa bunge ili yeye awataarifu wao lakini pia akaonya kuwa kama mbunge anafukuzwa ubunge ikiwa imebakia mwaka ambapo muda wa uchaguzi mdogo kwa mujibu wa sheria inategemea busara za Spika.
"Ukimfukuza mbunge wakati unajua kuwa muda wa uchaguzi mdogo umeisha inamaana wananchi watakaa bila mwakilishi na hivyo unawanyima haki ya wawakilishi hivyo ingetegemea busara za Spika"
Bwana Kavishe pia amezungumzia kuanza kwa kuhakiki kwa daftari la wapiga kura.
My take: Naona ishu ya Mwambe, CHADEMA wameshapigwa knockout.
USSR