Ili NEC iwe huru na haki Bunge lijalo ambalo naamini sasa lina wabunge wakutosha kutoka vyama vya upinzani, washinikize WAJUMBE WOTE WA NEC WAPITISHWE NA BUNGE, PIA TAKUKURU, WASIPOFANYA HIVYO NI NDOTO UPINZANI KUONGOZA NCHI, MAANA NEC INAPELEKESHWA NA ALIYE WACHAGUA, HIVYO BASI WABUNGE WAJENGE HOJA MARA MOJA ILI KUIBOMOA NEC NA KUIUNDA NEC MPYA MTAONA MATOKEO, BELIEVE ME, WABUNGE HIMA MSWADA MARA MOJA KUFUMUA NEC, yaani hapo mtakuwa na uhakika wa uchaguzi, vinginevyo wapinzani wanajaza maji kwenye gunia, quick, faster, hurry up wabunge, mtakuwa mmepata ushindi mkubwa, believe me again, nyie mnakata matawi kateni mizizi kumaliza fitina za kuchakachuliwa, period