Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 16,646
- 16,266
Kwanini mnajifanya viziwi na vipofu..!!? Kwanini mnaanza kutoa mawasiliano ya wapiga kura kwa CCM...? Hii inamaanisha NEC mnahujumu UCHAGUZI WAZI WAZI...!! Hata kabla ya kupiga kura..!!
Mfano: Nimepigiwa simu, usiku, ikiwa sauti ya Mh. Magufuli iko recorded kuniomba kura..!!
Namba CCM wanayotumia ni +255 756 777 777, ikisema yeye ni John Magufuli, anaomba kura yangu...!!!
Hivi kwanini mnafanya haya..? Why..?
These are voters details, kwanini mnawapa CCM..? hii ina maanisha hata namba zetu za VITAMBUSLISHO VYA KURA, ZOTE CCM wanajua....!! Kwanini NEC mnaleta hatari kubwa hivi...?
Mtaharibu uchaguzi huu... sbb naamini mmeshawapa CCM data zote za wapiga kura..!!!
HILI ni KOSA KISHERIA, NEC?
Mfano: Nimepigiwa simu, usiku, ikiwa sauti ya Mh. Magufuli iko recorded kuniomba kura..!!
Namba CCM wanayotumia ni +255 756 777 777, ikisema yeye ni John Magufuli, anaomba kura yangu...!!!
Hivi kwanini mnafanya haya..? Why..?
These are voters details, kwanini mnawapa CCM..? hii ina maanisha hata namba zetu za VITAMBUSLISHO VYA KURA, ZOTE CCM wanajua....!! Kwanini NEC mnaleta hatari kubwa hivi...?
Mtaharibu uchaguzi huu... sbb naamini mmeshawapa CCM data zote za wapiga kura..!!!
HILI ni KOSA KISHERIA, NEC?