Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
anaitwa nape mropokaji aka vuvuzelaHawa jamaa mbona hawaeleki, wanasema hawajaridhika na uamuzi watakata rufaa, huku wanadai wanasubiri wanasheria wao, which is which?
Tanzania tuna tatizo kubwa sana la watu/taasisi kukaa na kusubiri kila kitu kiletwe kwenye sahani. Tumeona polisi inavyotaka 'muathirika' awe ndio mpelelezi badala ya wao kufanya kazi hiyo, sasa NEC nayo inasubiri iletewe kila kitu. Kama hao wakubwa wamesikia taarifa inayohusu ofisi yao kwenye vyombo vya habari, wameshindwa kitu gani kuwasiliana (kwa barua) na ofisi husika ili wapate barua 'maalum?
Inamaana NEC hawasikilizi redio wala kusoma magazeti?
Anyway watapata tuu taarifa rasmi.
Watakata rufaa lakinu yawezekana kwamba wanataka tuu kupunguza facts zilizowadondosha lakini hawawezi kushinda hata chembe