Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,422
- 911,172
Gazeti la Uhuru linalomilikiwa na CCM lina habari kuu leo isemayo.....NEC: Gazeti latumika kupandikiza uchochezi...................
Habari hii imekuja baada ya gazeti moja linalosadikiwa kuwa ni Tanzania Daima kuandika habari isemayo.............Usalama wa Taifa: Dr. Slaa alishinda uchaguzi kwa 64%.............
Tatizo kwa NEC ni kuwa wapigakura wengi hawana imani nayo na wanaamini ni matunda ya mfumo wa chama kimoja cha siasa ambapo Raisi wa Nchi huteua watendaji na viongozi wake kwa uficho na bila ya kuvishirikisha vyombo vingine vya umma kama kuzitangaza nafasi hizo, kufanya mahojiano ya kuwasaili waoombaji na wateule kuthibitishwa na Bunge..................
Vile vile ushiriki wa Idara ya Usalama wa taifa katika kufuatilia matokeo ya kura nao unatilia mashaka kuwa malengo yao huwa nini kwa sababu hizo siyo moja ya majukumu yao kuingilia NEC katika kusimamia chaguzi zetu.........................
Haya yote huenda ndiyo yanasababisha hisia za kuwa chaguzi zetu siyo huru na wala siyo za haki........................
Habari hii imekuja baada ya gazeti moja linalosadikiwa kuwa ni Tanzania Daima kuandika habari isemayo.............Usalama wa Taifa: Dr. Slaa alishinda uchaguzi kwa 64%.............
Tatizo kwa NEC ni kuwa wapigakura wengi hawana imani nayo na wanaamini ni matunda ya mfumo wa chama kimoja cha siasa ambapo Raisi wa Nchi huteua watendaji na viongozi wake kwa uficho na bila ya kuvishirikisha vyombo vingine vya umma kama kuzitangaza nafasi hizo, kufanya mahojiano ya kuwasaili waoombaji na wateule kuthibitishwa na Bunge..................
Vile vile ushiriki wa Idara ya Usalama wa taifa katika kufuatilia matokeo ya kura nao unatilia mashaka kuwa malengo yao huwa nini kwa sababu hizo siyo moja ya majukumu yao kuingilia NEC katika kusimamia chaguzi zetu.........................
Haya yote huenda ndiyo yanasababisha hisia za kuwa chaguzi zetu siyo huru na wala siyo za haki........................