leseiyo
Senior Member
- Oct 25, 2007
- 116
- 3
Nadhani huyu Kiravu analeta mchezo.Hivi inawezekana vipi tupate matokeo kutoka interior regions kama Tarime,Njombe Kusini,Singida Mjini tushindwe kupata matokeo ya majimbo ya Dar?Huu ni uchakachuaji uliopitiliza na kuleta vurugu zisizo na sababu.Tunatia aibu na ni upuuzi kupita kiasi.Kwa faida ya nani lakini?