486( speed model) computers ilikuwa karibu 20yrs ago je ndo wanazo tumia NEC uchaguzi huu pia 286, inawezeka alitumia jaji makame enzi hizo, mabadiliko ya tekno hama yamewezesha kazi kufanyika kwa haraka na ufanisi lakini sio hapa TZ, iam sure hata hizo model za zamani zingelitumika matokeo yasingelichukua this long,kuna agenda ya siri:sad: