NEC: Chama cha Siasa kutangaza kugomea uchaguzi hakuwezi kuifanya Tume iuahirishe! Tume haiko kushawishi chama kushiriki

Ameambiwa arekebishe kasoro ili hivyo vyama vishiriki. Sijamsikia akizungumza kurwkebisha hizo kasoro. Hata mpirani unachezaje na yimu iliyokuja na refa wao, sheria zao,mpira wao, uwanja wao halafu utegemee ushindi?

DED ndio returning officer wa uchaguzi. Leo anaonekana katika mkutano wa CCM sasa unayegemea atatangaza matokeo ya aina gani?

Mkuu, mimi nadhani akina Mbowe wangekua wanaita media baada ya kuchukua hatua kadhaa with evidence badala ya kuita media na kiishia kutuhumu without evidence.
Wanajua fika magirini ya watu wanaoshindana nao lakini sioni kama kuna any note taker among them. Mwishowe wanaishia kuinekana ni walalamikaji tu.
 
Tutumie akili kidogo. Unapokubali kushiriki kwenye uchaguzi katika mazingira ya sasa, unakuwa hasa una lengo gani? Kwamba wewe ni chama cha siasa ambacho hujawahi kuitisha mkutano wa hadhara wa taifa hata mara moja kueleza sera zako, kisha unaambiwa ushiriki uchaguzi wa ushindani na vyama vingine ambavyo vimekuwa busy kwa muda wa miaka mitano kuelezea sera zake, are you really serious? Ningekuwa na uwezo ningefanya kampeni za kuukataa mfumo wa vyama vingi, kama namna ya kupinga namna taifa hili linavyochezea fedha katika mambo ambayo siyo serious. Ni kama tulivyokuwa tunapinga mchakato wa mabadiliko ya katiba ambao watu hawakuwa serious, but they just wanted to do for the sake of doing it. Fedha hizo zilizopotea, zingeweza kupeleka umeme kwa vijiji kadhaa katika Tanzania. We squandered the money like we never needed it. That is just ridiculous....
Malengo yanategemea na nini unataka. Unaweza kuingia kwenye hostile environment ukiwa na lengo la kufikisha ujumbe duniani.
Unless kuna hatua zingine zinachukuliwa kususa ni kifo rasmi cha kisiasa. Huo ndio mtazamo wangu.
 
Unatakiwa upambane nao ili wawaite mezani, ukiwaachia mnakufa hivyo hivyo viti 3 vya ubunge kuvikosa ni kosa sana
Walivyovinolea meno hivyo vyeo wapo radhi hata kupoteza robo ya wa Tz ili wavipate.
 
Sasa unalalamika nini, kwani CHADEMA au UKAWA waliingia mkataba na wewe kwamba lazima washiriki kila uchaguzi? Kaa kimya nenda kashindane na hivyo vyama vingine, si basi? Kelele za nini?
kwa nini mllitisha media si mgekacha kimyakimya au mliwashwawashwa?
 
Kwa kuwa NEC haikuona kama kuna matatatizo katika uchaguzi uliopita, na wala haikuona kama kuna mtu yoyote alieumia. Hivyo basi napendekeza ukawa muingie katika uchuguzi mkiwa jino kwa jino. lawama zote watabeba Tume ya Uchaguzi. Msisusie uchaguzi kwani CCM ndivyo wanavyotaka
 
Africa hakunaga meza ya mazungumzo. Mbowe ni dhaifu sana kuendesha mapambano haya kwa sasa, ana siasa za kiistarabu sana ambazo hazihitajiki Tanzania kwa muda huu. Inatakiwa asome nyakati, hizi ni nyakati za noma upinzani nao watie noma. Makamanda gani kutwa kulia lia na red brigade ipo, wananchi wapo!! Chadema kama chama cha kina mama vile kutwa kulia lia..
Wakiweka noma... tia noma
Miafrica ndivo tulivyo
 
Hakuna haja ya kuingia vitani.
Kama chadema mna uwezo andaeni vijana wachache waliojitoa ufaham, mnawahakishia maisha ya familia zao kuishi vzr, then wakajitoe mhanga kwa wale mnaodhani wanakwamisha demokrasia, unyanyasaji nk

Mkitangaza vita na dola mtakufa bure,
 
Unaongelea kifo kipi tena na wewe? Vyama vya upinzani haviwezi kuwepo bila kuruhusiwa kufanya shughuli zake za siasa. We don't want weak political parties that cost billions of taxpayers money every month. Hii itakuwa program very expensive kuiendesha kwenye nchi maskini kama Tanzania; na inatufanya tuonekane hatuna uchungu na fedha za watu maskini wa nchi hii.
What is your point here, kwamba hutaki opposition parties?? And you are calling them weak, which ones are you referring to?
Umetumia kigezo gani kuita vyama vya upinzani kuwa ni weak katika mfumo mbovu wa uchaguzi kuwahi kutokea duniani pale ambapo mwenyekiti wa chama kinachoshiriki uchaguzi anachagua nani asimamie uchaguzi. Pale ambapo mwenyekiti huyo wa chama anapiga marufuku vyama vingine kufanya siasa za 'campaign' wakati yeye na chama chake wanafanya.
 
HAhaha mnapambana na nani sasa?? Sisi ndio wenye nchi, tume, majeshi na kila kitu..wasimamizi wote wa uchaguzi wnanateuliwa na kufuata maelekezo ya mteuaji yaani Mwenyekiti wetu wa CCM. Nyie ingieni tu uchaguzini kitakachowakuta msianze kulialia na kusema sijawaambia. Kila la herii
 
Back
Top Bottom