NAWATAFUNA
JF-Expert Member
- Nov 14, 2019
- 13,286
- 24,001
wewe subiri kutangaziwa tu,haya mambo yawakubwa yanaenda kikubwa kubwa.Aonane na raisi yupi tena?
wewe subiri kutangaziwa tu,haya mambo yawakubwa yanaenda kikubwa kubwa.Aonane na raisi yupi tena?
Acha mihemko,mwishowasiku hii ni nchi yetu lazima tuwe wamoja hata kama tunavyama tofauti.Kwa taarifa yako na wengine wenye kuwashwa, Mbowe Hana muda mchafu wa kufanya mjadala na yeyote kuhusu lolote! Yupo anajenga chama.
Hao nec na ccm wanatosha kujiteua viti maalum! Wajichague wenyewe itapendeza kwani waliyataka! Mahera na jaji wake aibu hii mmeitaka!
Tuwe wamoja majizi ya kura?.Hatutaki kumchanganyia Magufuli Wabunge ili tupate maendeleo.Acha mihemko,mwishowasiku hii ni nchi yetu lazima tuwe wamoja hata kama tunavyama tofauti.
Misimamo aijenga hasa kwenye maswala ya msingi.Tuwe wamoja majizi ya kura?.Hatutaki kumchanganyia Magufuli Wabunge ili tupate maendeleo.
Tulipokuwa tunasema nyie ni wauaji mlikuwa mnabisha, Leo mnajifanya wema kama Mamba.Mbowe ni mtu makini sana, hawezi acha izo nafasi kwa presha za mitandaoni. Kikubwa aombe kuonana na Rais ili kuweka mambo sawa kuondoa sintofahamu ya kwenye uchaguzi uliopita.
Hapo kwenye nchi yetu nitoe! Kisha tulia unapoandika ili uepuke makosa ya uandishi! Au hoja yangu imekuchanganya? Isiwe msemaji wa watu wengine kwani hawajakutuma!Acha mihemko,mwishowasiku hii ni nchi yetu lazima tuwe wamoja hata kama tunavyama tofauti.
Leo wewe unamuita Mbowe mtu makini sana😁😁😁😁😁,sio bure!Mbowe ni mtu makini sana, hawezi acha izo nafasi kwa presha za mitandaoni. Kikubwa aombe kuonana na Rais ili kuweka mambo sawa kuondoa sintofahamu ya kwenye uchaguzi uliopita.
Kwani lazima CDM iwepo bungeni?Si ilikuwa lengo lenu mchukue viti vyote kwani wapinzani wanachelewesha maendeleo!Jumuiya za kimataifa tayari wametoa congratulatory notes kuutambua ushindi wa kimbunga nendeni bungeni acheni siasa nyepesi haxitawasaidia
We nawe ni kapumbafu kumbe? Tangu lini Mbowe akawa na busara mbele ya ccm? Mnaanza kutumia lugha za kumbembeleza aingie king ili muanze kejeri zenu? Utoko zaidi ya utopoloMbowe ni mtu makini sana, hawezi acha izo nafasi kwa presha za mitandaoni. Kikubwa aombe kuonana na Rais ili kuweka mambo sawa kuondoa sintofahamu ya kwenye uchaguzi uliopita.
Huu upumbavu mnautaka sana, Mbowe hawezi kuwasikiliza eti asiteuwe hawara Yake Joyce Mukya utampa pesa ya matumizi wewe? Pia Kuna pesa lazima wampe Mbowe kwa mwezi tsh 1560000/- wakiwa 10 hizo ni 15 Mil kwa mwezi Mbowe hawezi kuacha hiyo hell.Apeleke ujinga wake huko!
Wachaguane wenyewe sisi CHADEMA hatutaki kushiriki huo upumbavu.