NEC: Bado hatujapokea Barua ya Kuvuliwa Ubunge wa Nyalandu kutoka kwa Spika

Hivyo ambavyo havijawahi kufanyiwa ufafanuzi ufafanuzi ujue wakati wake bado! Ukifika utaambiwa!

HUU UJINGA, KUNA VITU VYA MUHIMU SANA HAVIJAWAHI KUFANYIWA UFAFANUZI, KAMA BASHITE NA VYETI VYAKE, ILA HILI KILA LEO UFAFANUZI, HATUITAJI UFAFANUZI WOWOTE
 
Kwa hiyo Ndugai ni muongo?
Maana Ndugai alisema jana kuwa tayari wameshaitaarifu tume ya uchaguzi kuhusu Lazaro Nyalandu kupoteza ubunge wake.
Sasa tume leo inasema haijapokea hiyo taarifa. Hiyo ina maanisha nini?
Uchaguzi Kwenye jimbo hill hautakuwepo mpaka kipindi cha miaka mitano kiishe.
 
He is right Kailima katika hili
Spika anapaswa kuwaandikia Tume.Official Letter kuwajulisha jimbo liko wazi
Kama bado hajafanya hivyo lazima atafanya
 
Hahaaa! Hivi unajielewa kweli? Haya ni masaala ya kisheria, sio maamuzi ya mtu. Halafu kwanini unakua mtabiri yani kama mpiga ramli? why?
Sheria zipi zinazofuatwa wakati mhimili uliojichimbia ndo unaamua kila kitu....usijidai hujui ninachomaanisha
 
Digital unaielewa au unaongea tu kufurahisha genge!

Digital ni kitu cha ajabu sana mpaka ushangae mimi kuijua au unataka kuonyesha ulimbukeni ili uonekane unajua sana kwa kudhani digital ni jambo la ajabu?
 
Huyu jamaa mkurugenzi nec anasura ya kinafki na ya kutumika kama glass
 
upload_2017-11-3_13-58-59.png


Bunge leo ndio wameitaarifu NEC hayo ya juzi jana yalitoka wapi
 
Mchuzi moto Ugali moto, angekuwa katokea CHADEMA au CUF ya Shariff, mngeipata haraka tu japo kwa kuifuata nyie wenyewe. Wadhulmati wakubwa nyie.
 
Naona hali ya kisiasa TZ haiko shwari cha msingi msaada au collective agreements ya nchi nzima na Urais wa nchi ni Taasisi ambayo inahusisha mikoa yote na watu pasipo kujali au kuweka kupendelea kabila fulani that is wrong nchi itakuwa nzito kimtazamo.
 
Back
Top Bottom