Chapakazi
JF-Expert Member
- Apr 19, 2009
- 2,874
- 310
Ivi kweli kuna mtu mwenye akili timamu asiyejua kuwa NEC wanafanya hila kubadilisha matokeo?
Ivi kweli unaweza kusema huu ulikuwa uchaguzi huru na kweli Tanzania?
NEC wametia aibu Tanzania
CCM wametia aibu zaidi kwa kudhihirisha kuwa wao ni wezi!
Na watanzania mtatia aibu kama kweli mtakubali haya matokeo!
hatuwezi kusubiri siku 5 za kuhesabu kura mil 19!
Ukimya wa CHADEMA nao unanipa mashaka! Come out, speak out! Mbona mnakubali unyanyasaji na inefficiencies za ajabu? Hamjui kuwa nyie ndo sauti ya wananchi? Mnawezaje kuwa People's Power huku mnawasaliti wananchi na ukimya wenu?
Wito kwa WaTz...tusikubali matokeo yoyote yenye utata! V
Ivi kweli unaweza kusema huu ulikuwa uchaguzi huru na kweli Tanzania?
NEC wametia aibu Tanzania
CCM wametia aibu zaidi kwa kudhihirisha kuwa wao ni wezi!
Na watanzania mtatia aibu kama kweli mtakubali haya matokeo!
hatuwezi kusubiri siku 5 za kuhesabu kura mil 19!
Ukimya wa CHADEMA nao unanipa mashaka! Come out, speak out! Mbona mnakubali unyanyasaji na inefficiencies za ajabu? Hamjui kuwa nyie ndo sauti ya wananchi? Mnawezaje kuwa People's Power huku mnawasaliti wananchi na ukimya wenu?
Wito kwa WaTz...tusikubali matokeo yoyote yenye utata! V