Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,103
- 16,147
walipomzomea na yeye akawaambia piga mbizi, wamemwaga ugali kamwaga mboga.
lakini hadhi yake na wao hazilingani na kwa kuwa huo mkutano haukuwa rasmi hivyo wengi ya aliowakuta pale instant ni wachuuzi na mateja wanaokaa kule kwenye mawe. Huku ni kushusha hadhi yake kwani kichaa akibeba nguo zako mtoni nawe ukamfukuza ukiwa utupu basi hakutakuwa na mwenye tofauti hapo