Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,000
- 9,861
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amewatahadharisha wanaochapisha taarifa wasizokuwa na uhakika nazo.
Kuanzia jumatatu, Februari 21, Ndugulile amesema wataanza kuwachezesha wote wanaotoa taarifa potofu na wanaofanya utapeli.
Amesema kama hauna uhakika na taarifa usipost, usiretweet, usilike wala kukoment.
Aidha kuhusu matapeli wa mtandaoni, Ndugulile amesema wataanza uhakiki upya ili kudhibiti hilo.
Kuanzia jumatatu, Februari 21, Ndugulile amesema wataanza kuwachezesha wote wanaotoa taarifa potofu na wanaofanya utapeli.
Amesema kama hauna uhakika na taarifa usipost, usiretweet, usilike wala kukoment.
Aidha kuhusu matapeli wa mtandaoni, Ndugulile amesema wataanza uhakiki upya ili kudhibiti hilo.