Ndugulile: Kama hauna uhakika na taarifa usipost, usiretweet, ku-like wala kukomenti

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,000
9,861
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amewatahadharisha wanaochapisha taarifa wasizokuwa na uhakika nazo.

Kuanzia jumatatu, Februari 21, Ndugulile amesema wataanza kuwachezesha wote wanaotoa taarifa potofu na wanaofanya utapeli.

Amesema kama hauna uhakika na taarifa usipost, usiretweet, usilike wala kukoment.

Aidha kuhusu matapeli wa mtandaoni, Ndugulile amesema wataanza uhakiki upya ili kudhibiti hilo.




 
Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Dkt. Faustine Ndugulile amewatahadharisha wanaochapisha taarifa wasizokuwa na uhakika nazo.

Kuanzia jumatatu, Februari 21, Ndugulile amesema wataanza kuwachezesha wote wanaotoa taarifa potofu na wanaofanya utapeli.

Amesema kama hauna uhakika na taarifa usipost, usiretweet, usilike wala kukoment.

Aidha kuhusu matapeli wa mtandaoni, Ndugulile amesema wataanza uhakiki upya ili kudhibiti hilo.


Inachanganya
 
Asitufokee ,asitupangie sio kazi yake .

Yeye awakabe hao mitandao maana wameshusha GB na gharama wamepandisha mfano vodacom.

Yaani ninue bando wa buku 5 GB 2 kwa wiki halafu uje unipangie matumizi .

Au ndio kaanza na yeye ulevi wa madaraka maana alipokuwa naibu waziri alikuwa mtu Safi tu Hana kihehehere
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom