Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,444
- 7,802
Waziri Faustine Ndugulile amesema hawayavumilia makampuni yanayotoa siri za wateja wao akitolea mfano mtu kupigiwa simu na kuambiwa Salio lililopo.
Pia waziri Ndugulile amekemea wahudumu wasio waaminifu kwenye kampuni hizo wanaoshirikiana na wahalifu kwa kutoa Siri za wateja.
Waziri amesema wanaandaa Sheria ya Data Protection ila kwa kipindi hiki cha mpito ameyataka makampuni ya simu kuweka mifumo imara.
Pia waziri Ndugulile amekemea wahudumu wasio waaminifu kwenye kampuni hizo wanaoshirikiana na wahalifu kwa kutoa Siri za wateja.
Waziri amesema wanaandaa Sheria ya Data Protection ila kwa kipindi hiki cha mpito ameyataka makampuni ya simu kuweka mifumo imara.