bm21
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 774
- 33
Rugaimukamu: Hivi Rweyongeza, kare katoto kako Gozbert kako wapi siku
hizi? maana nakumbuka karikuwa dull darasani mwenzake Albert ni daktari
bingwa sasa!
Muchunguzi: Ee Albert kumbe ni mtaaram bwanaa.
Rweyongeza: Aaa Gozbert yupo, yeye kazi yake ni kuwahudumia wagonjwa
warioshindwa na madaktari bingwa!
Rugaimukamu: Mmmmhh
(BAADA YA Rugaimukamu kuondoka )
Muchunguzi: Eee Rweyongeza, nirishindwa kukuuriza mbere ya Rugaimukamu,
sasa kama Gozbert anahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa,
yeye ni nani?
Rweyongeza: Aaa unajua Ka Gozbert hakakusoma hivyo kanachimbaga makaburi!
hizi? maana nakumbuka karikuwa dull darasani mwenzake Albert ni daktari
bingwa sasa!
Muchunguzi: Ee Albert kumbe ni mtaaram bwanaa.
Rweyongeza: Aaa Gozbert yupo, yeye kazi yake ni kuwahudumia wagonjwa
warioshindwa na madaktari bingwa!
Rugaimukamu: Mmmmhh
(BAADA YA Rugaimukamu kuondoka )
Muchunguzi: Eee Rweyongeza, nirishindwa kukuuriza mbere ya Rugaimukamu,
sasa kama Gozbert anahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa,
yeye ni nani?
Rweyongeza: Aaa unajua Ka Gozbert hakakusoma hivyo kanachimbaga makaburi!