Ndugu Zetu wa Kanda ya Ziwa

bm21

JF-Expert Member
May 12, 2008
774
33
Rugaimukamu: Hivi Rweyongeza, kare katoto kako Gozbert kako wapi siku
hizi? maana nakumbuka karikuwa dull darasani mwenzake Albert ni daktari
bingwa sasa!

Muchunguzi: Ee Albert kumbe ni mtaaram bwanaa.

Rweyongeza: Aaa Gozbert yupo, yeye kazi yake ni kuwahudumia wagonjwa
warioshindwa na madaktari bingwa!

Rugaimukamu: Mmmmhh

(BAADA YA Rugaimukamu kuondoka )

Muchunguzi: Eee Rweyongeza, nirishindwa kukuuriza mbere ya Rugaimukamu,
sasa kama Gozbert anahudumia wagonjwa warioshindwa na madaktari bingwa,
yeye ni nani?

Rweyongeza: Aaa unajua Ka Gozbert hakakusoma hivyo kanachimbaga makaburi!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom