Joline
JF-Expert Member
- Sep 24, 2020
- 3,763
- 6,273
Sio mbaya mkuu hata mgeni ukimkaribisha kwako kauli ya kwanza inayotoka 'jisikie uko nyumbani"
Cha muhimu umemsaidia inatosha hayo mengine ni ya kuachana nayo
Sio mbaya mkuu hata mgeni ukimkaribisha kwako kauli ya kwanza inayotoka 'jisikie uko nyumbani"
Cha muhimu umemsaidia inatosha hayo mengine ni ya kuachana nayo
Sasa mbona umekuja kumsema mwenzako hapa kama maana utofauti wenu ni mdogo tu; Ye ameamua kuwa huru mbele yenu, wewe unakuwa huru ukiwa peke yako 😆😆Watu nadhani wakienda vijijini wanakula mambo mengi mengi sana. Kilichonishangaza dada aliamua tu kujiachia wala hakutaka jibana. Of course nami nikiwa peke yangu huwa najiachia tu kwa uhuru
Siyo gari. Ni magari. But pia siyo issue. Siku nikimaliza kujenga zile ghorofa tatu za apartments kwa familia 9 hapo ndo unipongeze maana hapo ntakuwa nmetumia kama Mil 400+hongera kwa kumiliki gari mkuu
Hapana.... Hao kiukweli sijengi mazoea ya kuwapa lift kabisaWanaume hawapewagi lifti😢
Umekwepa masela wangapi hadi kumfikia huyo mjambaji, gari likibuma unawatafuta hao hao masela, kweli wewe chizi maarifa...
Mpo wengi tu, kuna wengine hata smart phone hawana.Hivi jeiefu ni mimi tu ndo sina gari
Ni hizi zenye matairi manne.
VITZ!!IST😃😃😃
Wenye magari bei rahisi huwa ni watata sana.Una gari aina gani?