lutamyo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2011
- 641
- 159
Namshukuru Mungu sana kwa kuniwezesha kupata chaguo lilo bora zaidi. Nimepata mchumba anayetoka katika mkoa wa Iringa. Hapo ndo penyewe naomba mwenye kufahamu vizuri juu ya taratibu za utoaji wa mahari huko Iringa, hasa vitu gani vinapaswa kuzingatiwa na mposaji.