johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,898
- 141,836
Nimesikia kupitia Imaan tv kuwa mahakama ya juu nchini Saud Arabia imetangaza mwandamo wa mwezi na kwamba kesho ni sikukuu ya Idd.
Tena wamesisitiza kuwa kuna waislamu wengine watakula sikukuu ya Idd Jumatano kwa sababu wanausubiria mwezi wa kitaifa uandame hapo kesho kunako majaliwa.
Na mwisho wamesisitiza kuwa watakaosherehekea sikukuu kesho na wale wa jumatano wote wapo sahihi.
Hapo ndipo naomba kuelimishwa hizi tofauti za siku zinasababishwa na nini wakati kalenda ya kiislamu ni moja?
Nawatakia Eid Mubarak!
Tena wamesisitiza kuwa kuna waislamu wengine watakula sikukuu ya Idd Jumatano kwa sababu wanausubiria mwezi wa kitaifa uandame hapo kesho kunako majaliwa.
Na mwisho wamesisitiza kuwa watakaosherehekea sikukuu kesho na wale wa jumatano wote wapo sahihi.
Hapo ndipo naomba kuelimishwa hizi tofauti za siku zinasababishwa na nini wakati kalenda ya kiislamu ni moja?
Nawatakia Eid Mubarak!