jamiif
JF-Expert Member
- Apr 30, 2012
- 2,413
- 990
mh, si mchezo!
Na sisi Singasinga NECTA inatuonea sana, tunataka mkurugenzi wa necta awe singasinga
Na sisi Singasinga NECTA inatuonea sana, tunataka mkurugenzi wa necta awe singasinga
Kuilalamikia serikali kuhusu matokeo mabaya ya Mtihani wa Dini ya Kiislamu, na hata baada ya kupitiwa upya hayaonyeshi ubora wowote unaoridhisha, ni uvivu wa kufikiri ndugu zangu Waislamu. Kaeni chini muwe wenye fikra si kukurupuka na kulaumu kumbe maimamu hawafundishi yanayopaswa au basi hawana elimu inayotarajiwa, hivyo basi labda tunahitaji kuanza kuandaa walimu na kuwajengea upya uwezo. Je, mlitaka wawekewe alama nzuri hata kama wamefanya vibaya? Kwani zimekuwa shule za Wagalilaya wao huweka vema tu na kuonekana watoto wanafanya vema ikija mtihani wa taifa vituko. Kitabu chetu kitukufu cha Quran (القرآن الكريم kinaeleza bayana jinsi gani tunavyopaswa kuzingatia Elimu Dunia na si tu Elimu ya Akhera na Imani ya Mwenyezi Mungu.
Hebu tukae chini tutafakari tusiilaumu serikali na kutaka njia ya mkato. Tujipime tujikosoe na tujipange kuwaandaa watoto wetu katika somo hili muhimu wa imani yao na maisha yao.
Pia mimi nina wazo kwa maimamu na Mashehe viongozi wangu, mnaonaje katika madrasa tukaingiza somo la kujifunza elimu dunia katika hatua za awali, na si Quran Tukufu tu pekee, ili basi wawe na tija na waweze kushindanq na watoto wengine wanapokuwa kwenye shule za kawaida na kuweza kuongoza na kushika hatamu katika nafasi muhimu serikalini na katika taasisi mbalimbali? Maaba upendeleo bila elimu na ujuzi wapi na wapi? Na mnaonaje tukaanza kampeni ya kujenga mahospitali yetu wenyewe kwa wingi, na mashule ya msingi na sekondari ya kisasa, na vyuo vya ufundi ili watoto wetu waweze kuwa na uwezo wa kushindana na wengnine na kuchukua hatamu badala ya kutegemea shule za wenzetu, na tukaweza kutoa Maimamu wazuri kabisa wenye elimu dunia na elimu bora ya Quran Tukufu.
Je mwajua huko dini ya Kiislamu ilikoanzia watoto wao huwapeleka hata Marekani na Ulaya kupata elimu na wana ujuzi mkubwa sana, na wameendelea sana wenzetu si tu kwa bahati, ila kwa elimu Dunia ambayo iko juu sna. Ukweli uko palepale, Elimu ya Quran Tukufu itatujengea imani, uadilifu na maisha masafi mbele ya Mwenyezi Mungu lakini woote tunaafiki pia utakapokosa elimu dunia, inakuwa taabu kwelikweli maana ufukara na dhiki vinakuwa sehemu ya maisha yako, huwezi pata ajira wewe, wala huna ujuzi wa kutosha wa jinsi dunia ya sasa inavyofanya mambo yake.
Kuilalamikia serikali kuhusu matokeo mabaya ya Mtihani wa Dini ya Kiislamu, na hata baada ya kupitiwa upya hayaonyeshi ubora wowote unaoridhisha, ni uvivu wa kufikiri ndugu zangu Waislamu. Kaeni chini muwe wenye fikra si kukurupuka na kulaumu kumbe maimamu hawafundishi yanayopaswa au basi hawana elimu inayotarajiwa, hivyo basi labda tunahitaji kuanza kuandaa walimu na kuwajengea upya uwezo. Je, mlitaka wawekewe alama nzuri hata kama wamefanya vibaya? Kwani zimekuwa shule za Wagalilaya wao huweka vema tu na kuonekana watoto wanafanya vema ikija mtihani wa taifa vituko. Kitabu chetu kitukufu cha Quran (?????? ??????) kinaeleza bayana jinsi gani tunavyopaswa kuzingatia Elimu Dunia na si tu Elimu ya Akhera na Imani ya Mwenyezi Mungu.
Hebu tukae chini tutafakari tusiilaumu serikali na kutaka njia ya mkato. Tujipime tujikosoe na tujipange kuwaandaa watoto wetu katika somo hili muhimu wa imani yao na maisha yao.
Pia mimi nina wazo kwa maimamu na Mashehe viongozi wangu, mnaonaje katika madrasa tukaingiza somo la kujifunza elimu dunia katika hatua za awali, na si Quran Tukufu tu pekee, ili basi wawe na tija na waweze kushindanq na watoto wengine wanapokuwa kwenye shule za kawaida na kuweza kuongoza na kushika hatamu katika nafasi muhimu serikalini na katika taasisi mbalimbali? Maaba upendeleo bila elimu na ujuzi wapi na wapi? Na mnaonaje tukaanza kampeni ya kujenga mahospitali yetu wenyewe kwa wingi, na mashule ya msingi na sekondari ya kisasa, na vyuo vya ufundi ili watoto wetu waweze kuwa na uwezo wa kushindana na wengnine na kuchukua hatamu badala ya kutegemea shule za wenzetu, na tukaweza kutoa Maimamu wazuri kabisa wenye elimu dunia na elimu bora ya Quran Tukufu.
Je mwajua huko dini ya Kiislamu ilikoanzia watoto wao huwapeleka hata Marekani na Ulaya kupata elimu na wana ujuzi mkubwa sana, na wameendelea sana wenzetu si tu kwa bahati, ila kwa elimu Dunia ambayo iko juu sna. Ukweli uko palepale, Elimu ya Quran Tukufu itatujengea imani, uadilifu na maisha masafi mbele ya Mwenyezi Mungu lakini woote tunaafiki pia utakapokosa elimu dunia, inakuwa taabu kwelikweli maana ufukara na dhiki vinakuwa sehemu ya maisha yako, huwezi pata ajira wewe, wala huna ujuzi wa kutosha wa jinsi dunia ya sasa inavyofanya mambo yake.
Na mimi naomba nichangie hapa, hata baada ya serikali kukiri kukosea na kusahihisha tena matokeo, bado imeonekana failure kwa somo la Islamic knowledge, niulize pia kuna University gani hapa Tanzania ambayo inachukua wanafunzi waliofaulu somo la Dini (what i understand all Divinity/Bible knowledge and Islamic Knowlegde have not any credit for entering to the University).
Kuilalamikia serikali kuhusu matokeo mabaya ya Mtihani wa Dini ya Kiislamu, na hata baada ya kupitiwa upya hayaonyeshi ubora wowote unaoridhisha, ni uvivu wa kufikiri ndugu zangu Waislamu. Kaeni chini muwe wenye fikra si kukurupuka na kulaumu kumbe maimamu hawafundishi yanayopaswa au basi hawana elimu inayotarajiwa, hivyo basi labda tunahitaji kuanza kuandaa walimu na kuwajengea upya uwezo. Je, mlitaka wawekewe alama nzuri hata kama wamefanya vibaya? Kwani zimekuwa shule za Wagalilaya wao huweka vema tu na kuonekana watoto wanafanya vema ikija mtihani wa taifa vituko. Kitabu chetu kitukufu cha Quran (?????? ??????) kinaeleza bayana jinsi gani tunavyopaswa kuzingatia Elimu Dunia na si tu Elimu ya Akhera na Imani ya Mwenyezi Mungu.
Hebu tukae chini tutafakari tusiilaumu serikali na kutaka njia ya mkato. Tujipime tujikosoe na tujipange kuwaandaa watoto wetu katika somo hili muhimu wa imani yao na maisha yao.
Pia mimi nina wazo kwa maimamu na Mashehe viongozi wangu, mnaonaje katika madrasa tukaingiza somo la kujifunza elimu dunia katika hatua za awali, na si Quran Tukufu tu pekee, ili basi wawe na tija na waweze kushindanq na watoto wengine wanapokuwa kwenye shule za kawaida na kuweza kuongoza na kushika hatamu katika nafasi muhimu serikalini na katika taasisi mbalimbali? Maaba upendeleo bila elimu na ujuzi wapi na wapi? Na mnaonaje tukaanza kampeni ya kujenga mahospitali yetu wenyewe kwa wingi, na mashule ya msingi na sekondari ya kisasa, na vyuo vya ufundi ili watoto wetu waweze kuwa na uwezo wa kushindana na wengnine na kuchukua hatamu badala ya kutegemea shule za wenzetu, na tukaweza kutoa Maimamu wazuri kabisa wenye elimu dunia na elimu bora ya Quran Tukufu.
Je mwajua huko dini ya Kiislamu ilikoanzia watoto wao huwapeleka hata Marekani na Ulaya kupata elimu na wana ujuzi mkubwa sana, na wameendelea sana wenzetu si tu kwa bahati, ila kwa elimu Dunia ambayo iko juu sna. Ukweli uko palepale, Elimu ya Quran Tukufu itatujengea imani, uadilifu na maisha masafi mbele ya Mwenyezi Mungu lakini woote tunaafiki pia utakapokosa elimu dunia, inakuwa taabu kwelikweli maana ufukara na dhiki vinakuwa sehemu ya maisha yako, huwezi pata ajira wewe, wala huna ujuzi wa kutosha wa jinsi dunia ya sasa inavyofanya mambo yake.