witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,710
- 47,099
Oooh ok..safiKazi yangu kila mwaka lazima nipime na ndio maana nipo makini mno
Sent using Jamii Forums mobile app
Oooh ok..safiKazi yangu kila mwaka lazima nipime na ndio maana nipo makini mno
Yes mpendwa vizuri kabisa.
Haya maisha ni mafupi sana jamani...mtu hata hutakiwi kuteseka, basi tu ya dunianiSure maisha yenyewe mafupi
Ok sawa bebiNa refresh, uchovu wa siku nzima
Dah, na mahangaiko haya ya maisha utajuaje yani. Ni kumuachia mungu japo yupo under surveillance 24/7Na huyo manzi umpime kila baada ya miezi mitatu....siku ukimhisi anabanjuka stopisha mechi, subiri miezi mitatu mpime tena!
Hiyo ndo itakuwa salama yako
Sent using Jamii Forums mobile app
Kacheza rough match nying mnoo, hajawahi pima, suprise n.k...anakula kona kali!Kama haumwi uoga wa nini
Nasikia inapasukaga...but mimi kwangu haijawahiHivi hii kitu huwa haipasukagi kunako
Amna namna ilibidi nimuunge mkono pierre kwa mda
Unatumia kinga kwa muda huo, then badae mnapima ndo mnabinjuka kavuMkuu hapo kwenye kulala nae si hatari kabla ya vipimo
Hahah mungu alivyo wa ajabu anaweza akawa clean huyo ila tu hajiamini maana kapita chocho nyingi! Wale wanaojilinda linda sana ndio wanaumizwaga kizembe sanaKacheza rough match nying mnoo, hajawahi pima, suprise n.k...anakula kona kali!
Sent using Jamii Forums mobile app
Uwe na maji hata kama yale ya katerero, ukitumia ndomu huwa yanapungua, yanapokwenda sijui, inawezekana ni labda mwili tu unayavuta pale utakapoanza kutumia ndomu!...waulize wadada wengi watumiaji watakwambia hili so haihusiani na ukavu au la!...Zinayafyonza yanaenda wapi? Ok. Nilikuwa sijui ila zinawachubuaga kuta za kei mkikojoa ule uchumvi chumvi unaumiza.
Hapo kuomba asiwe anaye taka kuwambukiza kwa kukusudia maana atahakikisha inatobokaUnatumia kinga kwa muda huo, then badae mnapima ndo mnabinjuka kavu
Sent using Jamii Forums mobile app
Of course...sasa unafikiri kuwa unaimiliki peke yakoAkiwa muoga maana yake anacheza mechi za nje.
Hah hahSasa unangoja nini kwa Fursa ya Upadre mkuu, karibu uanze mafunzo St. Johns
Mi siujui mamy......ila naonaga wagonjwa wengi wakiugua hii ishu wanasema wametupiwa!Hivi Ukimwi wa bandia upoje huo
🤔Hee ajabuMi siujui mamy......ila naonaga wagonjwa wengi wakiugua hii ishu wanasema wametupiwa!
Na ndugu yangu anasemaga hivi hivi!
Sent using Jamii Forums mobile app