My learned brother shahada na bado unakuja kuomba nafasi huku?
All the years hujawahi pita kwenye sehemu yoyote?
Embu zirudie zile chimbo za kipindi unasoma. Embu wafate hata wale ulikua unasikia hata kwenye story, wakina mkono, jeba embu husika nao hao.
Habari ndugu zangu wana JF,
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 27 natafuta ajira yoyote itakayonisaidia kujikimu. Nina degree ya sheria lakini hata sichagui kazi.
Nina ujuzi wa computer.
Nilishawahi kua Legal Officer.
Nikishawahi kua Research Assistant.
Lakini ninaweza kufanya kazi yoyote nyingine kwa uaminifu na uchapakazi mkubwa.
Namba yangu ni: 0715258486
Asanteni
Anhaa basi kama ulikutana na wanasheria humu na ikawe heri kwako kupata nafasi hizo.Which years , ain’t a brother though. Hata hili ni chimbo tangu ninasoma
Soon naingia huko maana mtaa sio poa aisee.Uber ni kimbilio la graduates wengi,
Duuuuh!!
Kusoma kwingi c kujua mengi eeeh??
Msomi wa degree hujui kutengeneza ajira yoyte? Ila fresh.
Habari ndugu zangu wana JF,
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 27 natafuta ajira yoyote itakayonisaidia kujikimu. Nina degree ya sheria lakini hata sichagui kazi.
Nina ujuzi wa computer.
Nilishawahi kua Legal Officer.
Nikishawahi kua Research Assistant.
Lakini ninaweza kufanya kazi yoyote nyingine kwa uaminifu na uchapakazi mkubwa.
Namba yangu ni: 0715258486
Asanteni
Kwa mkono bila School of Law??My learned brother shahada na bado unakuja kuomba nafasi huku?
All the years hujawahi pita kwenye sehemu yoyote?
Embu zirudie zile chimbo za kipindi unasoma. Embu wafate hata wale ulikua unasikia hata kwenye story, wakina mkono, jeba embu husika nao hao.
I have a suggestion to you.Habari ndugu zangu wana JF,
Mimi ni mwanamke mwenye umri wa miaka 27 natafuta ajira yoyote itakayonisaidia kujikimu. Nina degree ya sheria lakini hata sichagui kazi.
Nina ujuzi wa computer.
Nilishawahi kua Legal Officer.
Nikishawahi kua Research Assistant.
Lakini ninaweza kufanya kazi yoyote nyingine kwa uaminifu na uchapakazi mkubwa.
Namba yangu ni: 0715258486
Asanteni
mkuu niwahi pm kuna mchongo wa kupiga pesa huku, nimekuonea huruma aisee🤔🤔 fanya chap (xiriazi ujue😅)Which years , ain’t a brother though. Hata hili ni chimbo tangu ninasoma