Mondela
JF-Expert Member
- Aug 20, 2021
- 2,570
- 3,760
- Thread starter
- #41
Kiukweli ninaukaribu nao sana maana ndugu wa mke wangu wananisaidia sana nilivyo enda kumzika baba nilikuwa nimepata shamba nanilime ila nilimuacha mke wangu asimamie sema tu alikuwa ni mja mzito hivyo ndugu zake walisimamia kila kitu mi nilijua halita limwa ila nilikuta limelimwa na wametoa pesa zao dah!Pole sana mkuu, inaumiza sana najua hali unayopitia. Jaribu kujenga ukaribu sana na watoto wako pamoja na ndugu wa mke wako itasaidia