Jof3
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 656
- 313
Habari zenu. Ndugu zangu naomba msaada anayejua dawa za figo lenye maji na matatizo kwnye kibofu cha mkojo. Ninakojoa damu mkojo wa mwisho na maumivu makali sana. Hospital nilipewa dozi ya dawa hizi
1. Cital
2. Urimax
3. Moxif
baada ya kuisha dozi wiki 2 baadae matatizo yamerudi tena. Msaada wa dawa nikanunue jaman hali ni mbaya.
Natanguliza shukran zangu.
1. Cital
2. Urimax
3. Moxif
baada ya kuisha dozi wiki 2 baadae matatizo yamerudi tena. Msaada wa dawa nikanunue jaman hali ni mbaya.
Natanguliza shukran zangu.