kinyama nje
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 1,839
- 2,461
Upande wa camera hapo msibani wamefeli vibaya Sana pia kutokuo nyesha mambo muhimu mshika kamera kaniudhi sana
Ungemchapa vibaoUpande wa camera hapo msibani wamefeli vibaya Sana pia kutokuo nyesha mambo muhimu mshika kamera kaniudhi sana
hasa pale walipotembelea ChatoMimi pia ninakipenda saaaana. Hakika TBC ipo juu kama ndege za ATCL
Thanks too bossAhsant kwa kua mzalendo
CHADEMA kama kawaida yenu hata hili pia mtabishaKwaiyo unataka kutuambia TBC kama mbele vile wakati hata ITV inawashinda hahahhha.
Ahsant kwa kua mzalendo
Jamaa anaipenda sana hiyo picha na sijui kwanini anakataa kuibadili mwaka wa 2 sasa.mkuu, yaaani mimi hiyo avatar yako ndio inaniachaga hoi utadhani ulipigwa ngumi au uling'atwa na nyuki.
Hata hivyo mkuu wewe mzalendo.Mambo vp ndugu zangu wa hapa jamiiforums.
Kwanza ninaomba kuanza kwa kutoa shukrani zangu za dhati kwa serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kupitia Wizara ya habari, vijana utamaduni na michezo pamoja na shirika la Taifa la Utangazaji (TBC) kwa kuamua kuwa Wazalendo kwa vitendo zaidi na kuamua kuboresha muonekano wa TBC.
View attachment 1735094
Sasa hivi huwa nikiwa ninatazama TBC ARIDHIO ile saa moja jioni ni kama vile ninatazama CNN, BBC au Al Jazeera kwa maana camera na majukwaa ni ya kisasa, watangazaji wa kiume ni watanashati sana, hao akina dada ndio usiseme yaaani ni warembo saaaaana hususan yule dada wa kipare sijui mchagga wanamuita Elizabeth Mramba.
I congratulate you guys once again. Huyo Elizabeth Mramba kama hajaolewa mpaka sasa ninaomba mwenye number zake anipe mara moja wakuu kwa maana sio kwa weupe ule. Hahahahahaaaa, I am joking.
Sasa ngoja niende moja kwa moja kwenye ombi langu. Mimi ombi langu kwa siku ya leo ni kuhusiana na "Digital Clock and Date" upande wa chini - kushoto kwa maana sio kila sehemu watu wanatumia saa ya ukutani na sio kila muda mtu anakuwa ameshika simu mkononi ili aweze kutazama muda. Kama mnaweza kuiweka hiyo "Digital Clock and Date" wakati wa kipindi cha ARIDHIO, kwanini ishindikane kuwa pale muda wote? Kwanini huwa mnaiondoa baada ya ARIDHIO kuisha nyie wazalendo wenzangu?
View attachment 1735096
Kama mtaweza kuboresha muonekano wenu kwa kuweka hiyo "Digital Clock and Date Gadget" muda wote mnaokuwa mpo hewani mtakuwa mmwewasaidia sana watu kama wale vijana wanaokula kwa mama lishe, wanaokuwa wananyoa kwenye barbershops huku wanatazama TBC.
Pia hata sisi ambao kila asubuhi kabla ya kwenda katika shughuli yangu kijiweni ya kuendesha TAXI BUBU huwa ni lazima nitazame TBC kwanza ili kuweza kufahamu kuna kipi kimejiri hata Tanzania na hata duniani. Ukitazama kwa umakini picha mbili nilizoambatanisha hapo juu, unaweza ukaelewa ninachoshauri mimi.
USISAHAU: ENDELEA KUWA MZALENDO IPENDE TANZANIA. USICHAFUE TASWIRA NJEMA YA TAIFA LAKO. USTAWI WA NCHI YETU UNAANZA NA WEWE. TIMIZA WAJIBU WAKO IPASAVYO.
Hapa una maana gani mkuu?Ulinelenele sana
Haaaa.... Nilikutana na masahibumkuu, yaaani mimi hiyo avatar yako ndio inaniachaga hoi utadhani ulipigwa ngumi au uling'atwa na nyuki.
Acha kumpiga mwenzio mikwaza kijanaAlafu bwashee acha kabisa kunizingua ujue mimi ni mtoto wa r-chugga
TBC watalifanyia kazi hili. Just keep waiting and seeTeh Teh Tej sasa jombaa kama nimeshindwa kununua tu saa ya ukutani ndio nitaweza kweli kununua bando la kisimbuzi? Nipo vibaya sana aisee arifu
Huyu ndio demu wako?
Anaweweseka huyo mzee babaTeh Teh Teh nini tena jombaa?
Hapana na kwanini umewaza hivyo wee dada?Huyu ndio demu wako?
Weka pichaTBC ya mwaka 2021 sio sawa na TBC/TVT ya mwaka 1999. Please go learn the difference boss.