Antennah
JF-Expert Member
- Oct 14, 2015
- 6,566
- 8,350
Hahahaa kaka hongera sana.....Ila sasa cha ajabu kwangu ni kwamba MTU akiwa anavuta harufu yake inakua inanikera....ila nikiwa navuta mm nakuoa naiona iko poa sana...
Sent using Jamii Forums mobile app
mi nimeacha kwa kukwepa wavutaji, nikisikia ile harufu napata stimu za kuvuta
Sent using Jamii Forums mobile app