Ndugu zangu bila kujali itikadi za vyama ni Mtanzania yupi wa kutuletea maendeleo kama Taifa 2025?

Babe la mji

JF-Expert Member
Dec 14, 2019
983
2,053
Kwa hali ilivo kama Taifa tunapaswa kuwa na kiongozi mwadilifu, mkweli na ambae Hana kashfa yoyote ya rushwa Wala Ufisadi,awe mkweli, mwadilifu na pia mcha Mungu kwa Sababu kama Taifa tupo nyuma ya muda kimaendeleo.

Wakuu bila kujali itikadi za vyama ni kiongozi yupi mwenye sifa hizo ili ailetee nchi yetu maendeleo?

Tanzania kama nchi tuna Gesi,Mafuta,mbuga za wanyama,fukwe kwa ajili ya utalii, dhahabu, almasi, mito, maziwa na bahari, ardhi safi kwa ajili ya kilimo Cha umwagiliaji lakini nchi Bado ni masikini pamoja na hizi Baraka tulizonazo.

Inaumiza Sana nchi kama Tanzania kuwa na Wananchi masikini ambao hata kula ni shida,vijana hawana ajira .Na ukiangalia kwa makini Wananchi wanatoka kwenye umasikini na kwenda kwenye level ya ufukara na hii ni hatali kwa usalama wa Taifa letu.

Umasikini na ufukara mala nyingi ndiyo huleta vulugu kwenye nchi nyingi Duniani kwa kuona wanazalauliwa na watawala wao .

Sasa ndugu zangu 2025 twende na kiongozi gani amabae atakua mwarobaini na dawa ya haya matatizo kwa Nchi yetu?

Kiongozi yupi anauwezo wa kutuletea maendeleo kwa hali iliyopo?
 
CCM ikifa.
Hii nchi kuna upuuzi fulani ulitengenezwa na hawa jamaa ili akili za watanzania ziwe kama kondoo.

Haiitaji muujiza kulitambua hilo(Anza kwenye mwenge wa Uhuru, mengine utaongezea),waangalie wanazuoni wazuri walikuwa uraiani vile walivyoishi maneno na matendo yao,leo waangalie pale walipogeukia siasa za chama dola,ni kama sio wao vile.

Tunamuhitaji kijana mdogo DAUDI aweze kutuangushia giant Goliath,sijui kama DAUDI ameshazaliwaa au tuendelee kumsubiri?!
 
Kwa hali ilivo kama Taifa tunapaswa kuwa na kiongozi mwadilifu, mkweli na ambae Hana kashfa yoyote ya rushwa Wala Ufisadi,awe mkweli, mwadilifu na pia mcha Mungu kwa Sababu kama Taifa tupo nyuma ya muda kimaendeleo...
Kila mwanadamu ana madhaifu yake! Ikiwa Katiba ni nzuri hata ww Utatufaa!

Sababu itakunyoosha pale ulipopinda...
 
Ukombozi wa Nchi yetu utaletwa na MFUMO IMARA wa utawala hautaletwa na MTU binafsi, Tupambanie KATIBA MPYA.

Katiba hii imempa RAIS madaraka makubwa sana yanayosababisha mambo mengi kwenda slow au kuharibika Kwa kusubiri ruling yake.
 
Kwa hali ilivo kama Taifa tunapaswa kuwa na kiongozi mwadilifu, mkweli na ambae Hana kashfa yoyote ya rushwa Wala Ufisadi,awe mkweli, mwadilifu na pia mcha Mungu kwa Sababu kama Taifa tupo nyuma ya muda kimaendeleo.

Wakuu bila kujali itikadi za vyama ni kiongozi yupi mwenye sifa hizo ili ailetee nchi yetu maendeleo?

Tanzania kama nchi tuna Gesi,Mafuta,mbuga za wanyama,fukwe kwa ajili ya utalii, dhahabu, almasi, mito, maziwa na bahari, ardhi safi kwa ajili ya kilimo Cha umwagiliaji lakini nchi Bado ni masikini pamoja na hizi Baraka tulizonazo.

Inaumiza Sana nchi kama Tanzania kuwa na Wananchi masikini ambao hata kula ni shida,vijana hawana ajira .Na ukiangalia kwa makini Wananchi wanatoka kwenye umasikini na kwenda kwenye level ya ufukara na hii ni hatali kwa usalama wa Taifa letu.

Umasikini na ufukara mala nyingi ndiyo huleta vulugu kwenye nchi nyingi Duniani kwa kuona wanazalauliwa na watawala wao .

Sasa ndugu zangu 2025 twende na kiongozi gani amabae atakua mwarobaini na dawa ya haya matatizo kwa Nchi yetu?

Kiongozi yupi anauwezo wa kutuletea maendeleo kwa hali iliyopo?
Kiongozi anayeweza kutuletea maendeleo ni yule ambae atakuwa

Muadilifu,Mcha Mungu wa Ukweli na Mzalendo kwa nchi yake.

Anayeishi kwa kuamini nchi inaweza kuendelea bila kutegemea kuomba omba huko kwa mataifa makubwa na kuishia kupata mikopo yenye masharti yao.

Kiongozi atakayeogopa kuwarundikia wananchi wake utitiri wa mizigo ya madeni kwa sasa mpaka vizazi vinavyokuja.

Kiongozi ambaye ni mchukia Rushwa toka Moyoni na ambae ni mwenye rekodi isiyotia shaka kuhusiana na Ufisadi na Rushwa.

Kiongozi asiyetokana na makundi yaliyopo kwa wingi nchini kote chama tawala na upinzani.
Yanayoendesha siasa za kimaslahi binafsi wao na watu wao wa kimfumo.

*Mnaosema katiba mpya itakuwa muarobaini wa kuleta maendeleo.
Mnasahau kwamba katiba ni msimamizi wa sheria nzuri za nchi.
Kati ya viongozi na wananchi.
Ili kuhakikisha haki ya mwananchi au ya Kiongozi haipotei.katika kuendesha nchi kama taifa huru.

Lakini maendeleo ni suala mtambuka ambalo linagusa myanja nyingi ikiwemo na uchumi.

Kwa hiyo hata tukipata katiba mpya, bado tutahitajika kuwa na Kiongozi muadilifu na mwenye maono ya kuiona Tanzania ya kesho yenye Neema na Amani.

Hawa weengi tunaowaona na kuwashuhudia ni wezi watupu.

Wanatuibia kwa mkono wa kushoto na kisha kutuletea hizo hizo hela kwa mkono wa kulia kwa kuzihonga kwenye uchaguzi kwa kutumia Njaa na Umaskini wa Wajumbe.
 
Kiongozi anayeweza kutuletea maendeleo ni yule ambae atakuwa

Muadilifu,Mcha Mungu wa Ukweli na Mzalendo kwa nchi yake.

Anayeishi kwa kuamini nchi inaweza kuendelea bila kutegemea kuomba omba huko kwa mataifa makubwa na kuishia kupata mikopo yenye masharti yao.

Kiongozi atakayeogopa kuwarundikia wananchi wake utitiri wa mizigo ya madeni kwa sasa mpaka vizazi vinavyokuja.

Kiongozi ambaye ni mchukia Rushwa toka Moyoni na ambae ni mwenye rekodi isiyotia shaka kuhusiana na Ufisadi na Rushwa.

Kiongozi asiyetokana na makundi yaliyopo kwa wingi nchini kote chama tawala na upinzani.
Yanayoendesha siasa za kimaslahi binafsi wao na watu wao wa kimfumo.

*Mnaosema katiba mpya itakuwa muarobaini wa kuleta maendeleo.
Mnasahau kwamba katiba ni msimamizi wa sheria nzuri za nchi.
Kati ya viongozi na wananchi.
Ili kuhakikisha haki ya mwananchi au ya Kiongozi haipotei.katika kuendesha nchi kama taifa huru.

Lakini maendeleo ni suala mtambuka ambalo linagusa myanja nyingi ikiwemo na uchumi.

Kwa hiyo hata tukipata katiba mpya, bado tutahitajika kuwa na Kiongozi muadilifu na mwenye maono ya kuiona Tanzania ya kesho yenye Neema na Amani.

Hawa weengi tunaowaona na kuwashuhudia ni wezi watupu.

Wanatuibia kwa mkono wa kushoto na kisha kutuletea hizo hizo hela kwa mkono wa kulia kwa kuzihonga kwenye uchaguzi kwa kutumia Njaa na Umaskini wa Wajumbe.
Inawezekana uko sahihi, lakini haya hayawezekani Kwa Katiba hii.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Kwa hali ilivo kama Taifa tunapaswa kuwa na kiongozi mwadilifu, mkweli na ambae Hana kashfa yoyote ya rushwa Wala Ufisadi,awe mkweli, mwadilifu na pia mcha Mungu kwa Sababu kama Taifa tupo nyuma ya muda kimaendeleo.

Wakuu bila kujali itikadi za vyama ni kiongozi yupi mwenye sifa hizo ili ailetee nchi yetu maendeleo?

Tanzania kama nchi tuna Gesi,Mafuta,mbuga za wanyama,fukwe kwa ajili ya utalii, dhahabu, almasi, mito, maziwa na bahari, ardhi safi kwa ajili ya kilimo Cha umwagiliaji lakini nchi Bado ni masikini pamoja na hizi Baraka tulizonazo.

Inaumiza Sana nchi kama Tanzania kuwa na Wananchi masikini ambao hata kula ni shida,vijana hawana ajira .Na ukiangalia kwa makini Wananchi wanatoka kwenye umasikini na kwenda kwenye level ya ufukara na hii ni hatali kwa usalama wa Taifa letu.

Umasikini na ufukara mala nyingi ndiyo huleta vulugu kwenye nchi nyingi Duniani kwa kuona wanazalauliwa na watawala wao .

Sasa ndugu zangu 2025 twende na kiongozi gani amabae atakua mwarobaini na dawa ya haya matatizo kwa Nchi yetu?

Kiongozi yupi anauwezo wa kutuletea maendeleo kwa hali iliyopo?
Mtu yeyote kutoka TISS au JWTZ. Hawa naona ndio wazalendo kwa mbali walio baki kwenye hii nchi.
 
Kwa hali ilivo kama Taifa tunapaswa kuwa na kiongozi mwadilifu, mkweli na ambae Hana kashfa yoyote ya rushwa Wala Ufisadi,awe mkweli, mwadilifu na pia mcha Mungu kwa Sababu kama Taifa tupo nyuma ya muda kimaendeleo.

Wakuu bila kujali itikadi za vyama ni kiongozi yupi mwenye sifa hizo ili ailetee nchi yetu maendeleo?

Tanzania kama nchi tuna Gesi,Mafuta,mbuga za wanyama,fukwe kwa ajili ya utalii, dhahabu, almasi, mito, maziwa na bahari, ardhi safi kwa ajili ya kilimo Cha umwagiliaji lakini nchi Bado ni masikini pamoja na hizi Baraka tulizonazo.

Inaumiza Sana nchi kama Tanzania kuwa na Wananchi masikini ambao hata kula ni shida,vijana hawana ajira .Na ukiangalia kwa makini Wananchi wanatoka kwenye umasikini na kwenda kwenye level ya ufukara na hii ni hatali kwa usalama wa Taifa letu.

Umasikini na ufukara mala nyingi ndiyo huleta vulugu kwenye nchi nyingi Duniani kwa kuona wanazalauliwa na watawala wao .

Sasa ndugu zangu 2025 twende na kiongozi gani amabae atakua mwarobaini na dawa ya haya matatizo kwa Nchi yetu?

Kiongozi yupi anauwezo wa kutuletea maendeleo kwa hali iliyopo?
Imenilazimu nikupe hiyo alama ya "nzuri", kwa sababu mada yako ni muhimu sana, lakini naona kama kawaida yetu, kuchangia kwenye mada muhimu kama hizi humu JF ni shida tupu.
Kila mtu anayake!


Umetaja baadhi ya sifa unazodhani kiongozi huyo anatakiwa kuwa nazo ili Tanzania iweze kwenda mbele.
Lakini binafsi, nadhani sifa kuu kuliko zote anazopaswa kuwa nayo kiongozi wa nchi ni kuwaongoza wananchi wake waweze kujiletea maendeleo yao wao wenyewe.
Wajibu wa maendeleo ya nchi ni wa wananchi wenyewe, hayo mengine ni kusaidia tu juhudi za wananchi wenyewe katika kujiletea maendeleo yao.
Kwa hiyo kiongozi huyu hana budi kuwa na uwezo wa kujua na kutambua ni mambo yapi yanayoweza kuwafanya wananchi kufanikisha shughuli zao za maendeleo. Ni kiongozi anayetakiwa kuwa na utambuzi na ubunifu.

Inatakiwa awe ni kiongozi anayeweza kufanya kazi na kuwatumia viongozi wenzake aliowateua katika nafasi mbalimbali kwa uangalifu ili kutimiza malengo mbalimbali yaliyopangwa ya maendeleo ya nchi.

Awe ni kiongozi anayeheshimu taratibu, sheria na katiba ya nchi.


Sasa ukitaka kumtaja kwa jina kiongozi mwenye sifa za namna hiyo, au zinazokaribiana na hizo, hiyo ni kazi pevu.

Ninaamini kabisa, kwamba wapo watu, (waTanzania) wanaokidhi baadhi ya sifa hizi, lakini si kazi rahisi kuwatambua, na kwa bahati mbaya wengi hawapendi kujitokeza ili wananchi wawaone.

Tanzania sasa hivi inataka kiongozi 'MZALENDO' hasa. Nchi inaparaganyika hii.
 
Kwa hali ilivo kama Taifa tunapaswa kuwa na kiongozi mwadilifu, mkweli na ambae Hana kashfa yoyote ya rushwa Wala Ufisadi,awe mkweli, mwadilifu na pia mcha Mungu kwa Sababu kama Taifa tupo nyuma ya muda kimaendeleo.

Wakuu bila kujali itikadi za vyama ni kiongozi yupi mwenye sifa hizo ili ailetee nchi yetu maendeleo?

Tanzania kama nchi tuna Gesi,Mafuta,mbuga za wanyama,fukwe kwa ajili ya utalii, dhahabu, almasi, mito, maziwa na bahari, ardhi safi kwa ajili ya kilimo Cha umwagiliaji lakini nchi Bado ni masikini pamoja na hizi Baraka tulizonazo.

Sasa ndugu zangu 2025 twende na kiongozi gani amabae atakua mwarobaini na dawa ya haya matatizo kwa Nchi yetu?

Kiongozi yupi anauwezo wa kutuletea maendeleo kwa hali iliyopo?
Ni vizuri mtu kuuliza maswali na sio kuuliza majibu!. Kwenye uzi huu naona ni kama majibu tuu!. Maswali yako wapi?.
Mfano Tanzania kama Taifa tayari
  1. Tuna kiongozi mwadilifu,
  2. Mkweli na ambae
  3. Hana kashfa yoyote ya rushwa
  4. Wala Ufisadi,
  5. Ni mkweli,
  6. Mwadilifu na pia
  7. Mcha Mungu
  8. Taifa tupo mbele sana kimaendeleo.
  9. Tanzania kama nchi tuna Gesi,
  10. Mafuta,
  11. mbuga za wanyama,
  12. fukwe kwa ajili ya utalii,
  13. dhahabu,
  14. almasi,
  15. mito,
  16. maziwa na
  17. bahari,
  18. ardhi safi kwa ajili ya kilimo Cha umwagiliaji
  19. Nchi ni tajiri kwa hizi Baraka tulizonazo.
  20. Mwarobaini tunao
P
 
Kwa hali ilivo kama Taifa tunapaswa kuwa na kiongozi mwadilifu, mkweli na ambae Hana kashfa yoyote ya rushwa Wala Ufisadi,awe mkweli, mwadilifu na pia mcha Mungu kwa Sababu kama Taifa tupo nyuma ya muda kimaendeleo.

Wakuu bila kujali itikadi za vyama ni kiongozi yupi mwenye sifa hizo ili ailetee nchi yetu maendeleo?

Tanzania kama nchi tuna Gesi,Mafuta,mbuga za wanyama,fukwe kwa ajili ya utalii, dhahabu, almasi, mito, maziwa na bahari, ardhi safi kwa ajili ya kilimo Cha umwagiliaji lakini nchi Bado ni masikini pamoja na hizi Baraka tulizonazo.

Inaumiza Sana nchi kama Tanzania kuwa na Wananchi masikini ambao hata kula ni shida,vijana hawana ajira .Na ukiangalia kwa makini Wananchi wanatoka kwenye umasikini na kwenda kwenye level ya ufukara na hii ni hatali kwa usalama wa Taifa letu.

Umasikini na ufukara mala nyingi ndiyo huleta vulugu kwenye nchi nyingi Duniani kwa kuona wanazalauliwa na watawala wao .

Sasa ndugu zangu 2025 twende na kiongozi gani amabae atakua mwarobaini na dawa ya haya matatizo kwa Nchi yetu?

Kiongozi yupi anauwezo wa kutuletea maendeleo kwa hali iliyopo?
Tupange haya kuanzia 2030 kwa sababu 2025 bado tunaye SSH.
 
Back
Top Bottom