Anajiwakilisha yeye mwenyewe na familia yake.Stop being hater bro....mpe support kwa hta icho kidogo alichofanya NBA
Na isitoshe anaendelea kutuwakilisha huko Taiwan na anakichafua mbaya
Na hakuna support tunayoweza kumpa sisi. Yeye mwenyewe aendelee kupambania maisha yake na ww pambana na ya kwako.