Roger Ramer
Member
- Feb 4, 2017
- 34
- 15
Ndugu yangu mwenye umri wa miaka 19 anatatizo la kuwa na Kitovu kikubwa, akaulizia kwenye maduka ya madawa asili akaambiwa dawa yake itakuwepo ila akaulizie jina la hiyo dawa kwa wataalam wa dawa za asili. Kama kuna mtu anajua jina la hiyo dawa ya kurudisha Kitovu ndani naomba anitajie.