Tatizo la Gonjwa la Sukari (Diabets Mellitis): Fahamu chanzo, aina na ushauri wa tiba ya tatizo hili

G

Mzizi Mkavu ndugu yangu, diabetes is not a disease, its a condition. It is a defect of the body. Kwa maneno rahisi kisukari ni kama kilema. Kuna kiungo ndani ya mwili (kongosho) kimeharibika na hapajavumbuliwa namna ya kukitengeneza

Tiba zote hasa mbadala zinazotangazwa ni za kupunguza wingi wa sukari kwenye damu kitu ambacho ni temporal na sio kutengeneza/kutibu kongosho lililoharibika likawa halitimizi majukumu yake yaliyokusudiwa na Maulana

So can you please address hilo? Maana mtu anaweza akaenda kupima akakuta kweli level ya sukari yake ipo normal but that doesn't mean amepona
Kongosho likiharibika unakufa ndugu. Sema Kongosho lina sumu sio kuharibika. Kongosho lina sumu na uchafu ukisafisha hilo kongosho umepona maradhi yako ya Kisukari. Sikiliza hiyo Video kuhus kongosho.
 
Mimi nina kisukari natumia metformin. Nafuata diet,ninaamini nitaishi na kuona watoto wa vitukuu wangu. Achana na dawa za kienyeji. Usiwasikilize hawa wauza madawa yasiyopimwa viwango. Utaua figo zako bure.
Hakika umenipa moyo, nilikata tamaa juu ya huu ugonjwa. Kwasasa natumia metfomin, pia nmeanza diet, natumia ugali wa ngano nyeus, mkate wa ngano nyeusi kwa wanga, mboga za majani ndiyo chakula changu. Japo sukari kwasasa leo ipo juu sana. 18 hapo nilipima kabla sijala baada ya kula 20.5. Hakika itashuka
 
Mimi nina kisukari natumia metformin. Nafuata diet,ninaamini nitaishi na kuona watoto wa vitukuu wangu. Achana na dawa za kienyeji. Usiwasikilize hawa wauza madawa yasiyopimwa viwango. Utaua figo zako bure.
Tangu umegundulika ni mda gani..
 
18 hapo nilipima kabla sijala baada ya kula 20.5. Hakika itashuka
- Ni vyema ukafika hospitali, kama uko Dar nenda amana kuna dakitari mzuri wa kisukari , 18 - 20 ni kiasi kikubwa sana.
- Kuna uwezekano akakubadilishia dawa, ili kushusha na kuhakikisha haipandi kiasi hicho na kutoa ushauri zaidi jinsi ya kukabiliana na kisukari.
- Siku ya kliniki ya sukari Amana ni siku ya Jumatatu na Alhamisi.
 
- Ni vyema ukafika hospitali, kama uko Dar nenda amana kuna dakitari mzuri wa kisukari , 18 - 20 ni kiasi kikubwa sana.
- Kuna uwezekano akakubadilishia dawa, ili kushusha na kuhakikisha haipandi kiasi hicho na kutoa ushauri zaidi jinsi ya kukabiliana na kisukari.
- Siku ya kliniki ya sukari Amana ni siku ya Jumatatu na Alhamisi.
Asante sana ndugu kwa kunishauri, nipo mkoani.
Hapa nmetoka hospital nna siku tatu, nililazwa kwa mda wa mwezi mzima, hivyo nimetoka kutumia insulin na kuja kwenye vidonge.
Binafsi naona ina shuka sasa, japo nahitaji zaidi kuishusha.
 
Hakika umenipa moyo, nilikata tamaa juu ya huu ugonjwa. Kwasasa natumia metfomin, pia nmeanza diet, natumia ugali wa ngano nyeus, mkate wa ngano nyeusi kwa wanga, mboga za majani ndiyo chakula changu. Japo sukari kwasasa leo ipo juu sana. 18 hapo nilipima kabla sijala baada ya kula 20.5. Hakika itashuka
Acha stress mimi nimeikubali hali. Dr watu aliniambia kisukari sio adhabu. Kufuata masharti na dawa. Kupima mkojo ili kujua figo kama zipo Ok,kumuona cardiologist mara moja kwa mwaka,kupima Cholestérol mara moja kila miezi mitatu. Mkojo pia ni mara moja kila miezi mitatu. Kumuona optamologist mara moja kwa mwaka. Some time naiba nakula ugali. Kisukari sio adhabu cha muhimu kuacha masukari ya viwandani.
 
Hakika umenipa moyo, nilikata tamaa juu ya huu ugonjwa. Kwasasa natumia metfomin, pia nmeanza diet, natumia ugali wa ngano nyeus, mkate wa ngano nyeusi kwa wanga, mboga za majani ndiyo chakula changu. Japo sukari kwasasa leo ipo juu sana. 18 hapo nilipima kabla sijala baada ya kula 20.5. Hakika itashuka
Kazana mazoezi na milo itashuka,mimi inanisumbua kipindi Cha ujauzito wanaita gestational diabetes nkijifungua inaisha though nimeshazoea ulaji bora hivyo naendelea nao tu
 
Kazana mazoezi na milo itashuka,mimi inanisumbua kipindi Cha ujauzito wanaita gestational diabetes nkijifungua inaisha though nimeshazoea ulaji bora hivyo naendelea nao tu
Asante sana, ninajitahid hilo
 
Hakika umenipa moyo, nilikata tamaa juu ya huu ugonjwa. Kwasasa natumia metfomin, pia nmeanza diet, natumia ugali wa ngano nyeus, mkate wa ngano nyeusi kwa wanga, mboga za majani ndiyo chakula changu. Japo sukari kwasasa leo ipo juu sana. 18 hapo nilipima kabla sijala baada ya kula 20.5. Hakika itashuka
Utakaa sawa sisi tuna miaka mingi na huo ugonjwa fuata masharti tu basi
 
Back
Top Bottom