Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,596
- 45,225
Ukiachiwa nguo wewe ujue una bahati na wamekupenda,mara nyingi ni kama ulivyo zaliwa😂😂😂sasa mzee baba unajikuta dushe liko kusini wewe uko mashariki ya mbali daah,inabidi kujipanga na weweKama mambo yenyewe yako hivyo itabidi niingie kwe fani hiyo aisee, ila naskia kuna ku testiwa!! Hukawii kujikuta asubuhi upo juu ya bati na nguo za kulalia😂😂😂