Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukwaju Tiba ya vingi Ahsante kutukumbusha. | |
Nmeshaweka .- Je unaandaliwa vipi huu ukwaju? na
- Matumizi yake yako vipi kama tiba ya kisukari?
- Kiasi gani kinatumika?
- Mara ngapi kwa siku?
My Take
- Ahsante kwa ku_share nasi.
Nasisitiza
Nakandamizia
Dozi yake ipoje??
Nmeshaweka..
Ukwaju
Tiba ya vingi
Ahsante kutukumbusha.
Sijalizingatia ilo kwa sababu walotumia sijapata mrejesho wa aina hii wakat wa utumiaji.Juisi ya ukwaju kutwa mara 3,umeshatoa angalizo kwenye kuharisha...?
Kingine mother
Ukwaju
Tiba ya vingi
Ahsante kutukumbusha.
Ukwaju
Tiba ya vingi
Ahsante kutukumbusha.
Tena hayo yatakoma kabisaaa😜Hata yale mauza uza yetu??
Kingine kama wewe ni mvutaji wa sigara tafuna sana tangawizi mbichi kutwa mara 2 au 3Kingine mother
Ina saidia nini hiy tangawizi?Kingine kama wewe ni mvutaji wa sigara tafuna sana tangawizi mbichi kutwa mara 2 au 3
Sawa mkuuu fanya ivo !! tuwasaidie ..Asante Sana let me share this
PoaaaAsante
Inabidi Tuoane ,tutengenezeKingine kama wewe ni mvutaji wa sigara tafuna sana tangawizi mbichi kutwa mara 2 au 3
Fanya ivo mkuuAsante,mkuu ngoja nimjulishe rafiki yangu juu ya tiba hii mkuu.
Tuwe tuu waganga wa jadi😂😂Inabidi Tuoane ,tutengeneze
Huhuhu nitakua nakuvutia na wa upande wa piliTuwe tuu waganga wa jadi