Akiishakunywa maji alale kidogo apumzike kwanzaMwandishi hebu tulia kunywa maji halafu utuambie unataka kuleta ujumbe gani kwa jamii. Naona kama umekurupuka
Hayo ni mawazo yako tu mkuu,, hata sekta binafs unaweza kukutana na mtu akakushaur uache na ukafanye biashara flan ambayo hujaifanyia utafit mwsho wa siku unapoteza kote.Ana lengo la kushauri watu wakumbatie ajira za siri kali
Huyo jamaa hakuna kosa amefanya, sema kajaribu mishe zimegoma.Sawa, sometimes Mungu naye anaonesha ukuu wake
Pole sanaHayo kama yangu tuu niliondolewa kazini wiki mbili kabla ya kufika siku ya Ndoa yangu. Aiseee sikia tu kwa mwenzio. Nilikuwa ovyo sijapata ona, moyoni nina chuki nao vibaya mnoo nilifikiria hata kuwafanya mbaya sana. Nashukuru Mungu sa hivi nime settle kidogo.
MAKAMPUNI NA MASHIRIKA BINAFSI SIKU ZOTE UWE TAYARI KUONDOKA HIVYO UWE UNAJIPANGA KWA HILO.
Kwani mkuu hapo hujaelewa tu ujumbe uliopo?Mwandishi hebu tulia kunywa maji halafu utuambie unataka kuleta ujumbe gani kwa jamii. Naona kama umekurupuka
Pole sana bro tupo kwenye dunia ambayo ili ipendeze ni lazma iwe na changamoto na ili iwe nzuri Ni lazma tuzishindeHayo kama yangu tuu niliondolewa kazini wiki mbili kabla ya kufika siku ya Ndoa yangu. Aiseee sikia tu kwa mwenzio... Nilikuwa ovyo sijapata ona , moyoni nina chuki nao vibaya mnoo nilifikiria hata kuwafanya mbaya sana. Nashukuru Mungu sa hivi nime settle kidogo. MAKAMPUNI NA MASHIRIKA BINAFSI SIKU ZOTE UWE TAYARI KUONDOKA HIVYO UWE UNAJIPANGA KWA HILO.
Mahusiano ni kwel hakua na mahusiano mazur na wenzake tangu akiwa kwenye ajira ya mwnzoMinadhani hapo tatizo ni ndugu yako, kwasababu inaonekana alipenda sana starehe kupita kiasi.
Na inaonekana hakua na mahusiano mazuri na watu walio mzunguka, that's why hata huko alipo enda hakuongezewa mkataba kwasababu ya tabia zake.
Na kuhusu kukanyagiwa mke wake, huo ni umalaya wa mke wa jamaa yako na hauna mahusiano na kukosa kwake kazi.