October man
JF-Expert Member
- Nov 23, 2017
- 3,635
- 4,997
Nina ndugu yangu anatafuta BAJAJI ya kuendesha kwa mkataba ana leseni class E.
Ninamjua vilivyo hana usumbufu wowote ule na sio Gegedu (muharibifu/ muendesha rafu) nina uhakika utakuwa umewekeza kwa dereva sahihi.
Ninamjua vilivyo hana usumbufu wowote ule na sio Gegedu (muharibifu/ muendesha rafu) nina uhakika utakuwa umewekeza kwa dereva sahihi.