Babuu blessed
JF-Expert Member
- Oct 14, 2010
- 1,362
- 490
Habari wandugu ..
Mtoto wandugu yangu amepangiwa shule ya arusha girls sec school tumeitafuta katika orodha ya shule za serikali atujafanikiwa kuiona...nikahisi inaweza kuwa arusha sec kwa sababu mchepuo wake upo ni EGM lakini bado jina lake alija onekana katika orodha ya wanafunzi wanaotakiwa kujiunga na arusha sec....ninaomba mwenye kuweza kunisahidia nini cha kufanya hapa...asanteni
Mtoto wandugu yangu amepangiwa shule ya arusha girls sec school tumeitafuta katika orodha ya shule za serikali atujafanikiwa kuiona...nikahisi inaweza kuwa arusha sec kwa sababu mchepuo wake upo ni EGM lakini bado jina lake alija onekana katika orodha ya wanafunzi wanaotakiwa kujiunga na arusha sec....ninaomba mwenye kuweza kunisahidia nini cha kufanya hapa...asanteni