Ndugu yangu Alifanyiwa Operesheni ya Hernia kwa sasa anapata maumibu ya korodani

ashomile

JF-Expert Member
Mar 1, 2017
2,625
2,442
Habari zenu?

Naombeni ushauri kama nilivyotanguliza kwenye kichwa chajieleza hapo juu.

Ndugu yangu alifanyiwa operesheni ya Hernia ambayo ilikuwa inashuka kwenye korodani upande wa kulia.

Sasa amekaa vizuri bila shida takribani miezi 6 lakini tangia jana analalamika kuwa anasikia maumivu kwenye korodani zake na akigusa anasikia maumivu.

Na sehemu anayoumia ni ile sehemu iliyovurugwa wakati anafanyiwa Operesheni.

Pia kuna kipindi alikuwa akilala kwamba kuna sehemu alikuwa hasikii "sense" zilikuwa chini zaidi ila kadri siku zilivyozidi kwenda khali ile ilibadilika , siyo sana lkn kwa sasa walau anasikia "sense" ila kinachomtatiza ni haya maumivu haswa ile sehemu aliyovurugwa.

Madaktari Naombeni Ushauri Wenu.

Nitashukuru Sana Na Mungu Awabariki Kwa Kujitoa Kutusaidia Kupambanua Mambo.
 
Habari zenu?

Naombeni ushauri kama nilivyotanguliza kwenye kichwa chajieleza hapo juu.

Ndugu yangu alifanyiwa operesheni ya Hernia ambayo ilikuwa inashuka kwenye korodani upande wa kulia.

Sasa amekaa vzr bila shida takribani miezi 6 lakini tangia jana analalamika kuwa anasikia maumivu kwenye korodani zake na akigusa anasikia maumivu.

Na sehemu anayoumia ni ile sehemu iliyovurugwa wakati anafanyiwa Operesheni.

Pia kuna kipindi alikuwa akilala kwamba kuna sehemu alikuwa hasikii "sense" zilikuwa chini zaidi ila kadri siku zilivyozidi kwenda khali ile ilibadilika , siyo sana lkn kwa sasa walau anasikia "sense" ila kinachomtatiza ni haya maumivu haswa ile sehemu aliyovurugwa.

Madaktari Naombeni Ushauri Wenu.

Nitashukuru Sana Na Mungu Awabariki Kwa Kujitoa Kutusaidia Kupambanua Mambo.

Labda kipindi cha baridi kinaanza.
 
Kwanini asirudi hospital alikofanyiwa, daktari wake hamjui?
Ameshaenda akaambiwa ni khali ya kawaida akaambiwa kwa sababu alianza kupigwa nusu ganzi baada ya hapo akapigwa ganzi ya kusinzia mpaka wanamaliza .. ila leo anasema yuko vzr .
 
Amuone daktari aliyemfanyia upasuaji.
Alikwenda kwa daktari sasa anamwambia kwamba maumivu ya operesheni huwa yanatokea na maumivu anayoyapata ni sehemu ya karibu na upasuaji na ule upande wa kulia wa korodani ila siyo maumivu yakumtesa sana ni maumivu ya kawaida .
 
Back
Top Bottom