Nimekua niki-observe hili swala kwa mda mrefu kidogo na kwenye familia nyingi tofauti, utakuta ndugu wenye uwezo mkubwa kipesa wanawatenga ndugu wenzao wasio na pesa kinamna flani, sio kwamba wanawatenga kabisa..hapana..misiba na sherehe za harusi watahudhuria, michango watachangia, ila mazoea na ndugu wengine wenye kipato cha chini hawataki kabisa..mazoea kama ya kupiga story zisizo na kichwa wala miguu kwa lisaa lizima, friendly gossip, kutaniana na kucheka pamoja, kutembeleana cku ambazo si za sikukuu (yani cku za kawaida), kujuliana hali etc
Wakati ndugu wengi wasio na uwezo mkubwa kiuchumi wako more friendly, mtapiga story lisaa lizima, mtacheka na kutaniana, mtatembeleana akija kwako utamkaribisha fresh, atakula msosi na kushiba, ukienda kwake atakukaribisha vizuri. utakula ushibe, tena ndugu asie na uwezo atakuomba ww uende kwake umtembelee...mm kwa mtazamo wangu huu ndo undugu halisi.
Especially ndugu wengi wenye uwezo mkubwa wa kipesa wanaoishi dar ndo wana tabia hizo, ndugu mwenye uwezo mkubwa kipesa hata akikuruhusu umtembelee na akikukaribisha msosi wake unaona hii karibu haitoki rohoni, hii nimei-observe kwenye familia nyingi.
Wakati ndugu wengi wasio na uwezo mkubwa kiuchumi wako more friendly, mtapiga story lisaa lizima, mtacheka na kutaniana, mtatembeleana akija kwako utamkaribisha fresh, atakula msosi na kushiba, ukienda kwake atakukaribisha vizuri. utakula ushibe, tena ndugu asie na uwezo atakuomba ww uende kwake umtembelee...mm kwa mtazamo wangu huu ndo undugu halisi.
Especially ndugu wengi wenye uwezo mkubwa wa kipesa wanaoishi dar ndo wana tabia hizo, ndugu mwenye uwezo mkubwa kipesa hata akikuruhusu umtembelee na akikukaribisha msosi wake unaona hii karibu haitoki rohoni, hii nimei-observe kwenye familia nyingi.