Ndugu wassira aliposema kuwa CHADEMA LAZIMA IFE ALIKUWA NA DHAMIRA IPI?

Nikukumbushe

JF-Expert Member
Jun 4, 2013
2,602
408
Kusema kuwa mtu/kitu kife hiyo sio dhamira njema.Ndg wassira alisema mwaka 2013 CHADEMA lazima ife alikuwa na dhamira gani? Katika hali ya kawaida huwezi kuua chama kama hujaua watu,kwani chama hakiundwi na miti bali ni watu. Kutokana na kauli yake hii, ni dhahiri kuwa kauli ya WASSIRA iko katika utekelezaji, kwa kutumia ufahamu mdogo tu ambao haumhitaji mtu kuwa na PhD huwezi kuua chama kama haujaua viongozi, wanachama na washabiki wa chama, chama kinaundwa na watu sio miti wala nyasi.

Ndg Wassira, kauli zako hizi zinatutia mashaka na kuweka hisia na tuhuma zetu juu yako, kwani inawezekana unaratibu mambo haya kupitia jeshi la polisi, kwanza cheo chako kinasanifu yaliyotokea. Waziri mzima unatoa kauli kama hii, huku ukijua ni mwakilishi wa serikali, umeipaka matope serikali yako na chama chenu.

Najua hakuna jingine linalowapa hofu bali ni hofu ya kuachia dola. Na hofu hii inatokana na maovu mliyoyafanya kwenye utawala wenu yakiwemo ufisadi, rushwa, mikataba hewa, ujangili, utoroshaji wa pesa za walipa kodi, mauaji ya raia wasio na hatia.
Kwa taarifa tu, CCM haiwezi kutawala milele daima, mwisho wenu upo tu. Na jiandaeni kuficha sura zenu baada ya kutoka madarakani kwa kuzomewa kama mbwa.

NCHI HII SIYO YA CCM NA SERIKALI YAKE ,BALI NI YA WATANZANIA WOTE.
 
Walijua hizi mbinu zao zinazoshindwa kila kukicha zingefanikiwa, badala yake ndiyo wanakiua chama chao wenyewe.
 
Huyu WASSIRA mnamtia kiburi wenyewe mnapomuona kama BINADAMU mwenzetu!
Jamani ACHENI kumsingizia....!
Vibaya hvyo!
Mwenye macho haambiwi tazama...
Sasa kama mnajitia kutoona, MTAZAMENI!
Sema sasa UMEONA NINI???!
Tehe!
 
i see... u line of thinking inasikitisha na haiko well informed kabisa. umeshawahi kukisikia chama kinaitwa CCJ na sijui CCK? havijafa? wakina Mpendazoe wamekufa? acheni utoto jamani. na haya mambo ya moderator kuita watu senior members halafu wanafikiria kibwege namna hii inapunguza thamani ya JF sana.

Kusema kuwa mtu/kitu kife hiyo sio dhamira njema.Ndg wassira alisema mwaka 2013 chadema lazima ife alikuwa na dhamira gani? Katika hali ya kawaida huwezi kuua chama kama hujaua watu,kwani chama hakiundwi na miti bali ni watu.
Kutokana na kauli yake hii,ni dhahiri kuwa kauli ya WASSIRA iko katika utekelezaji,kwa kutumia ufahamu mdogo tu ambao haumhitaji mtu kuwa na PhD huwezi kuua chama kama haujaua viongozi,wanachama na washabiki wa chama,chama kinaundwa na watu sio miti wala nyasi.
Ndg wassira,kauli zako hizi zinatutia mashaka na kuweka hisia na tuhuma zetu juu yako,kwani inawezekana unaratibu mambo haya kupitia jeshi la polisi,kwanza cheo chako kinasanifu yaliyotokea. Waziri mzima unatoa kauli kama hii,huku ukijua ni mwakilishi wa serikali,umeipaka matope serikali yako na chama chenu.
Najua hakuna jingine linalowapa hofu bali ni hofu ya kuachia dola.Na hofu hii inatokana na maovu mliyoyafanya kwenye utawala wenu yakiwemo ufisadi,rushwa,mikataba hewa,ujangili,utoroshaji wa pesa za walipa kodi,mauaji ya raia wasio na hatia.
Kwa taarifa tu,ccm haiwezi kutawala milele daima,mwisho wenu upo tu.Na jiandaeni kuficha sura zenu baada ya kutoka madarakani kwa kuzomewa kama mbwa.
NCHI HII SIYO YA CCM NA SERIKALI YAKE ,BALI NI YA WATANZANIA WOTE.
 
Kusema kuwa mtu/kitu kife hiyo sio dhamira njema.Ndg wassira alisema mwaka 2013 chadema lazima ife alikuwa na dhamira gani? Katika hali ya kawaida huwezi kuua chama kama hujaua watu,kwani chama hakiundwi na miti bali ni watu.
Kutokana na kauli yake hii,ni dhahiri kuwa kauli ya WASSIRA iko katika utekelezaji,kwa kutumia ufahamu mdogo tu ambao haumhitaji mtu kuwa na PhD huwezi kuua chama kama haujaua viongozi,wanachama na washabiki wa chama,chama kinaundwa na watu sio miti wala nyasi.
Ndg wassira,kauli zako hizi zinatutia mashaka na kuweka hisia na tuhuma zetu juu yako,kwani inawezekana unaratibu mambo haya kupitia jeshi la polisi,kwanza cheo chako kinasanifu yaliyotokea. Waziri mzima unatoa kauli kama hii,huku ukijua ni mwakilishi wa serikali,umeipaka matope serikali yako na chama chenu.
Najua hakuna jingine linalowapa hofu bali ni hofu ya kuachia dola.Na hofu hii inatokana na maovu mliyoyafanya kwenye utawala wenu yakiwemo ufisadi,rushwa,mikataba hewa,ujangili,utoroshaji wa pesa za walipa kodi,mauaji ya raia wasio na hatia.
Kwa taarifa tu,ccm haiwezi kutawala milele daima,mwisho wenu upo tu.Na jiandaeni kuficha sura zenu baada ya kutoka madarakani kwa kuzomewa kama mbwa.
NCHI HII SIYO YA CCM NA SERIKALI YAKE ,BALI NI YA WATANZANIA WOTE.

Kulingana na Kauli ya Msajili wa Vyama Bwana John Tendwa aliyoitoa jana ameonya kwamba lazima sasa Viongozi wa vyama Vikuu pinzani kwa sasa hapa Tanzania kwa maana ya CHADEMA na CCM lazima wachunge ndimi zao. Kauli zao zinawavuruga Watanzania na kupelekea kuhatarisha Amani ya nchi.

Tendwa ameeleza kuhusu sheria inayoweza kuvifuta vyama vote viwili akianza na CCM kama kitabainika kuhusika katika machafuko haya. Ikitokea hivo maana yake inakuwa huna srikali inabidi uitishwe Uchaguzi Mkuu haraka sana maana ukifuta chama tawala unakuwa umepindua serikali kwa kalamu. CHADEMA nao wakifutwa wanakuwa wamepoteza Wabunge wao wote wa kuchaguliwa na wakuteuliwa.

Sasa sina hakika kama Tendwa ana ubavu huo ilhali tunajua kabisa amewekwa na haohao Chama Twawala!!!
 
Akili za kiroboto anyways mwachemi kama alivyo yupo nyuma ya binadamu wa kawaida stage 1....chimpazzZzzz
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom